Ni vema tusubiri taarifa kamiliR.I.P
Inawezekana alikuwa anaendesha amelewa maana huyu na bro wake wanakula pombe kinoma
Kwakweli, R. I. P da maunda sote njia yetu ni mojaDuh Rest In Peace Maunda ulikua mrembo Sana mwenye saut nzuri
Wengi wanakuwa ni wavuta bangi na madei waka alafu huwa wanahisi dunia imewaacha nyuma sana so barabarani wanakuwa na papara kujaribu Ku compensate!Madereva wa haya malori wengi either makondakta au deiwaka au wanavuta bangi na kutumia vinywaji vikali