R.I.P Hssein JumbeNi taarifa za muda huu huyu mkongwe hatuko naye alitamba na nyimbo kali sana kama,nachechemea
USSR View attachment 2583522
Sent using Jamii Forums mobile app
R.I.P Hssein JumbeNi taarifa za muda huu huyu mkongwe hatuko naye alitamba na nyimbo kali sana kama,nachechemea
USSR View attachment 2583522
Sent using Jamii Forums mobile app
Waskaji zake wa migo migo au siyoNyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu hupita, pumzika kwa amani Hussein Jumbe...wasalimie akina TX, Maalim Gurumo na wengineo
Haukukata tamaa ukajaribu tenaNilianguka ukaninyanyua mpakanjiaaa sikuweza kusimama mimiii 🎶🎶🎤🎺🎷
Mwanamuziki mkongwe Hussein Jumbe amefariki muda huu wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya Amana, Dar es Salaam.
===========
Updates
Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia.
Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park ‘Sikinde’ na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.
Habari ambazo Mwananchi zimetufikia hivi punde, Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.Mwanamuziki mkongwe Hussein Jumbe amefariki muda huu wakati akiendelea na matibabu katika Hospital ya Amana, Dar es Salaam.
===========
Updates
Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia.
Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za Tabora Jazz, Mara Jazz, Urafiki Jazz, DDC Mliman Park ‘Sikinde’ na TOT Band, Juwata Jazz na Mikumi Sound, amefariki leo Jumatatu Aprili 10, 2023 katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam.
Habari ambazo Mwananchi zimetufikia hivi punde, Jumbe alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu. Mwanamuziki huyo mkongwe atakumbukwa kwa nyimbo nyingi alizozitunga baadhi zikiwa ni Nachechemea, Nani Kaiona Kesho, Isaya na Kiapo.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu Twangoma Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.