Mwanamme amkata mkewe vidole vyote! amhadaa "afumbe macho" ampe zawadi

nimie

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
525
104
Kijana mmoja aitwaye Islam nchini Bangladesh amemkata mkewe vidole, baada ya kumlaghai kuwa afumbe macho ili ampe zawadi ya kushtukiza (suprise). Dada huyo mwenye umri wa miaka 21 alifumba macho na kutoa mkono ili kupokea "zawadi" hiyo, ndipo Islam alipomkata vidole vya mkono wa kulia.
KISA, mkewe aliomba na kupata nafasi ya masomo ya elimu ya juu bila kupata ridhaa ya Islam! - (source) TBC Taifa

Najiuliza, hii ni kwa sababu ya dini, wivu, au tuseme ni ujinga tu? Unasemaje?
 
Miujinga mingiiiiiiiiiiiii
watu tunataka shule wengine wanawakataza watu wao..
 
unashangaa nini???

islam is the religion made for men only.

Jamani, anaitwa Islam. Uislam kama dini haujazungumziwa hapo na wala haijaelezwa kama huyo kijana Islam ni muislamu!
 
Kijana mmoja aitwaye Islam nchini Bangladesh amemkata mkewe vidole, baada ya kumlaghai kuwa afumbe macho ili ampe zawadi ya kushtukiza (suprise). Dada huyo mwenye umri wa miaka 21 alifumba macho na kutoa mkono ili kupokea "zawadi" hiyo, ndipo Islam alipomkata vidole vya mkono wa kulia.
KISA, mkewe aliomba na kupata nafasi ya masomo ya elimu ya juu bila kupata ridhaa ya Islam! - (source) TBC Taifa

Najiuliza, hii ni kwa sababu ya dini, wivu, au tuseme ni ujinga tu? Unasemaje?

Huyo ni chizi na jela pekee haimtoshi, naye akatwe linanihii lake hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom