nimie
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 525
- 104
Kijana mmoja aitwaye Islam nchini Bangladesh amemkata mkewe vidole, baada ya kumlaghai kuwa afumbe macho ili ampe zawadi ya kushtukiza (suprise). Dada huyo mwenye umri wa miaka 21 alifumba macho na kutoa mkono ili kupokea "zawadi" hiyo, ndipo Islam alipomkata vidole vya mkono wa kulia.
KISA, mkewe aliomba na kupata nafasi ya masomo ya elimu ya juu bila kupata ridhaa ya Islam! - (source) TBC Taifa
Najiuliza, hii ni kwa sababu ya dini, wivu, au tuseme ni ujinga tu? Unasemaje?
KISA, mkewe aliomba na kupata nafasi ya masomo ya elimu ya juu bila kupata ridhaa ya Islam! - (source) TBC Taifa
Najiuliza, hii ni kwa sababu ya dini, wivu, au tuseme ni ujinga tu? Unasemaje?