Kijana mmoja aitwaye Islam nchini Bangladesh amemkata mkewe vidole, baada ya kumlaghai kuwa afumbe macho ili ampe zawadi ya kushtukiza (suprise). Dada huyo mwenye umri wa miaka 21 alifumba macho na kutoa mkono ili kupokea "zawadi" hiyo, ndipo Islam alipomkata vidole vya mkono wa kulia.
KISA, mkewe aliomba na kupata nafasi ya masomo ya elimu ya juu bila kupata ridhaa ya Islam! - (source) TBC Taifa
Najiuliza, hii ni kwa sababu ya dini, wivu, au tuseme ni ujinga tu? Unasemaje?[/QUOTE]
Kama huyo alofanya hivyo anaitwa Tariq Aziz (alokuwa msaidizi wa Sadam) au jina lolote, kuna uhusiano wowote wa jina na dini au tabia?
Mimi nasema ni zaidi ya ujinga - ni uhuni, uhayawani, ufirauni, ushetani, roho mbaya na kila sifa mbaya unayoijua. Muumini yoyote wa kweli wa dini yoyote ataona haya kujinasibisha na tendo hili la kikatili.
Huyo ni chizi na jela pekee haimtoshi, naye akatwe linanihii lake hilo.
Huyo ni chizi na jela pekee haimtoshi, naye akatwe linanihii lake hilo.
Hii thread value contents ni nini ? Sidhani kila upumbavu flani unaotokea kwengineko duniani uletwe hapa! Kivyovyote vile uislamu haufundishi brutuality lyk.
Hapa unachotaka kukianzia ni faith idiology conflicts na tayari wameshaanza shoutin' wenye dini zao, please usituokotee yasio na faida na community! Be resonable meaningless!