Kweli kabisa na akimuona wa aina hiyo huyo ni kichecheHapana hii asilimia 75 sio sahihi kuna wachache wanatoa lakini wengi wakiolewa sahau labda agundue mumewe anauza mechi atakupa kumkomoa.
Kweli kabisa na akimuona wa aina hiyo huyo ni kichecheHapana hii asilimia 75 sio sahihi kuna wachache wanatoa lakini wengi wakiolewa sahau labda agundue mumewe anauza mechi atakupa kumkomoa.
ni kwa gender zote bana, but kumbuka mwenye control kubwa ya haya maswala ya mapenzi ni mwanaume, kama mwanume akitakwa na X wake anaweza kusema no na ikawa no, but kama mwanume alimpenda X wake na kupenda kuendelea nae, be careful hata anaweza kutembea na mkeo bcoz alikuwa nae kabla hujamwoa, in general ni both gender
Hakuna cha research wala nini. Hii ni hofu tu ya wanaume. Mwanamke akimfumania mwanaume yeye mwanamke huumia kwa kudanganywa. Mki-solve ishu anakusamehe na yanaisha. Mwanamme akifumania atadanganya na kujidanganya mwenyewe kuwa kasamehe lakini chinichini huendelea kujiuliza, "Hivi hili jamaa limenizidi nini hadi mke wangu alikubali? Hivi lilifanya naye kweli? Yaani likamlalia kabisa?" Wavulana ni watu wenye hofu sana.
Angalia hata posts zinazowekwa na wanaume hapa JF kuhusu mapenzi, nyingi zinazungumzia wivu au dominance ambayo wanaume wanataka kuwa nayo kwa wasichana. Posts kama, "Mwanamke hamsahau mvulana wake wa kwanza" etc. Huu ni mwendelezo tu wa hofu za wanaume. Baadhi ya wanaume hujiondoa katika kupenda na kusema, "Mwanamke si mtu wa kumwamini, hata biblia imeandika" wakati hao hao wanaowalaumu wanawake wao si waaminifu. Msichana anaweza akakutana na girlfriend wa zamani wa mume wake na wakapiga stori lakini mwanaume hawezi akakutana na boyfriend wa zamani wa mkewe na akapiga stori kwa moyo mmoja.
Hivi wanawake haya mambo ya udhaifu wa wanaume hamyajui? Hamchoshwi na posts za kila mara zikitaja maneno dhidi yenu kama:
Mi nashangaa!!!!!!!! Naona wanawake mnaona sawa tu.........!! Ah haya bwana.
- Kumega
- Chapa ilale
- Gonga
- Piga etc
MR usibishe bana, yanayosemwa yana ukweli kwa kiasi kikubwa!
Aaahh... nilifuatilia hili hadi nimepata almost 75% wanasema kama ukishakuwa na uhusiano
na mwanamke kabla ya kuolewa/ akiwa ndani ya ndoa yaani mmekuwa mnamegana, na kuachana kwa sababu nzuri tu, labda kaolewa kahamia mbali, au kahamishwa kazi then akaja olewa au ulishalala na mwana mke mara moja na hamjagombana siku yeyote ukimwomba hawezi kukunyima, so wanaume watalaam wa mapenzi ni vigumu kugombana na wanawake wanajua siku moja wataonana na kupewa as usual, awe ameolewa au single ili mradi upate SIKU MOJA then siku zijazo hakuna kutongoza , just make a call na
kupanga time utapewa, kumbe ni kale ka aibu ka mwanzo tu, aiseeeeeeeee, mm nimeshanoa panga ole.
Baadhi ya wanaume wamezoea uasherati kiasi kwamba wamejisahau kabisa na kuona uovu wa kimapenzi wanaoufanya wakulaumiwa ni mwanamke tu. In fact, walio wengi wananuka ngono hata akili zao!
Nenda kwenye shimo la choo ukachukue ukauze dukani
nini mkiachana kwa nia njema? Hata kama mlitupiana virago, kama ulikuwa unakmamua vizuri tatulia na kukupa tena baada ya muda kama utamuomba. Haya yamenikuta. Ishu ni kuwa na subira tu. Mwache kwa muda hasira zipoe. Pia akose yale mapigo uliyokuwa ukimpa awali. Atakuja tu!
we nawe hujui hata misemo?! Lol!
Sasa hii inatisha maana tunaoa wake wameshapitia o level, A level na vyuo, bado sehemu alizotembelea jumlisha na nyumbani kwao, kote huko pengine alikuwa na wapenzi tofauti na waliachana si kwa kugombana bali kwa vile shule/chuo wamemaliza kila mtu anarudi kwao. Hapa mimi pressure inapanda, pressure inashuka, ok napotezea kwani hata mimi huwa natoka nje ya ndoa bila wife kujua ila mara chache chache sana.
Dah hiyo mkuu research yako iko hai kabisa kabisa, mfamo mimi mkuu nilikuwa na mademu kama watatu na wote sahizi wameshaolewa na wananyumba zao wote hao tuliachana kwa amani tu kutokana na umbali lakini leo nagonga hao wote bila shida ,muda wowote ninao taka ingawa lazima asema sikuhizi jamani mimi nina mume sitaki hayo mambo lakini mwisho wa siku mzigo unakula kiiulaniiiii bila shida. Research yake inaukweli tenamkubwa sana.
Cha msingi wanawake tulieeni na ndoa zenu jamaniii eeeehhh
Mbona hii ni kweli kabisa,kuna demu nilikuwa nammega enzi za o-level tukapotezana for more than 10 yrs,nikakutana nae mwaka juzi ameshaolewa na ana mtoto.,yeye mwenyewe akataka tupashe moto kiporo chetu,since then kila mumewe akisafiri lazima anitafute,kibaya zaidi ni kuwa anamponda mumewe na kujuta kwa nini aliolewa nae.
Kama vile kuna kaukweli flani!
Alaaa kumbe so it means yule girlfriend wangu aliyeolewa nikienda ku-test tena nitapewa duh inanifanya nipate :hungry::hungry: ya ku-rewind mechi tena will do nidful nimtafute nione if it will work out lol!!!!!!!!