sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Aiseee ........family
Aiseee ........family
yah i have internal locus of control.Aiseee ........
Wabhejah sana Emoj, kuna wasichana/ wanawake hawawezi kuishi bila marafiki which shows how dependant someone is! Suala la kujiamini kwamba umekamilika no matter the flaws wanawake wengi linawasumbua sana, kiasi kikubwa wanakuwa na marafiki ni wale ambao wamezoea kuishi kwa kuskiza opinion za watu, which is not bad lakini ikizidi sana ndio ile unakuta marafiki zako ndio wana run ndoa/mahusiano yako!!
“Fake friends; those who only drill holes under your boat to get it leaking; those who discredit your ambitions and those who pretend they love you, but behind their backs they know they are in to destroy your legacies.”
kweli kabisa mpendwa. hili nalo la kutotaka kunyonyesha et kisa boobs zitalala limekuwa tatizo kubwa
Bora wewefamily
Wanatoboa maskio mara mbilimbili ,marafiki zake wasioolewa waajabu,wamekaa kishangingishangingi
kama hujaolewa pole ila sikukulenga wewe Pretty
lol...Lakini tuseme kweli tu...Siku hizi huwezi kuchakachua kati ya Marafiki Besti na Marafiki uchwara!!
Hata ukijifungia kwenye susu (cage) Utatupiwa vijimaneno au kutungiwa Storyz ili uweze kutoka na kujitetea !!!
Raha yake ni kuwa multi-frendi tu "wabaya unadeal nao na wazuri unaweka mipaka yako !!
NIMPENDENANI kuna mtu wakusalimiana Akher Zamani hii..?!!?