umenena vema ..........mambo vipi lakini
nakuona mdo mdo na makid yako manne huku mama mtu anakula lapa taratiiiiiiiiiiiiiiiiibu kwa pembeni yenu............nimeipenda sana hii mkuu
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa utamkomaza mwana wa mwenzio loh! jamani hao tu wanne ni wengi mnooooooooo au hujui jamaniNashukuru sana Aminata
Umeona wife hapo anakula vitu vya asili tu ngozi nyororo hatumii losheni wala haweki dawa nywele.
Nataka azae watoto 9 namfunga kizazi
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa utamkomaza mwana wa mwenzio loh! jamani hao tu wanne ni wengi mnooooooooo au hujui jamani
mwisho wa siku hutumii tena bike itabidi ununue fuso mkiwa mmealikwa kwa harusi au sherehe yoyote inayowataka mhudhurie wanafamilia wote hahaaaaaaaaaaaaa u made ma dayMi nadumisha mila na desturi zetu baba alimzalisha mama watoto 11 mi nataka nilipe fadhira kwa kupiga mpaka 9 mtoto akianza kutembea napiga mimba si unaona walivyo pangana?
mwisho wa siku hutumii tena bike itabidi ununue fuso mkiwa mmealikwa kwa harusi au sherehe yoyote inayowataka mhudhurie wanafamilia wote hahaaaaaaaaaaaaa u made ma day
mwanamke unakuta mbele ka nyuma,nyuma ka mbele,yani anaenda ka anarudi.
mwanamke shepu banaaaaaaaaaaaaaaView attachment 44440