Mwanamke mzuri wa kuoa ni mwalimu.

Badilisha basi maneno yako kwenye thread ili watu wakuelewe vizuri!

siwezi kubadilisha. Ndio maana katikati ya thread nimeuliza kama hii kitu ni kweli.
Soma tena thread vzuqi.
 
Kwa hiyo sisi mamessenger tusiolewe jamani nyie watu mna balaa nyie. Mwanamke mzuri wa kuoa ni yule mwenye tabia na maadili mema, mwenye heshima, adabu, uvumilivu bila kusahau upendo. Hiyo ni taaluma tu hakuna uhusiano na kuolewa

:hail:
 
siwezi kubadilisha. Ndio maana katikati ya thread nimeuliza kama hii kitu ni kweli.
Soma tena thread vzuqi.

Hii kitu ni kweli kama huyo Mwalimu amefikisha miaka 35 hv yaani amepevuka, Hawa walimu wa Dotcom pressure tu na usipokuwa makini hata Madent watakumegea tu! Nilipokuwa O- Level kuna vijana walikuwa wanapenda sana Matanuzi basi wale walimu waliotoka Chuo yaani Fresh from Coleji walikuwa wanawashobokea sana hao Madent na inasemekana walikuwa wanamega, Tatizo walimu wakianza maisha wanakuwa na Mahitaji Mengi sana wakati Mshahara unakuwa hautoshi sasa hii inakuwa rahisi sana kurubuniwa, Labda kama una Mawe ya kumtuliza Mapema vinginevyo Mhhhh
 
Ukitaka kuoa oa mwanamke ambaye ni mwalimu.
Huwa ni watu wenye hekima, wanaweza malezi kwasababu huwa wanakutana na watoto wengi wa tabia tofauti so wa kwake hawatomshinda.
Ni watu ambao hawawi overworked mara nyingi hivyo anapata muda wa kuwa na familia yake.
Na inasemekana wanaume wengi wenye hela huoa walimu.
Hiyo ni kweli wadau?
Wenye taaluma zingine mbona kazi tunayo.


Hii haina ukweli wowote.. suala la mke kua bora kama mke ni very objective

haliangalii rangi,kimo, dini, kazi, kabila wala cheo ni mtu tu na tabia zake
 
Naunga mkono hoja...japo sio wote wana sifa nzuri!!Ukikutana na wenye sifa nzuri wanakua wavumilivu na waelewa sana...achilia mbali malezi mazuri kwa watoto wao!Nimekulia kwenye familia ya mwalimu...yote hayo nimeyaona!
 
Kuna sifa nyingine muliyoisahau! Mwalimu yuko mobile anaweza kuishi na kufanya kazi sehemu yoyote. kwa hiyo mme akihamia popote anaenda na familia. Ogopa fani zinazolazimisha mme na mke kuishi mbali kwa sababu ya kazi.
 
Kuna sifa nyingine muliyoisahau! Mwalimu yuko mobile anaweza kuishi na kufanya kazi sehemu yoyote. kwa hiyo mme akihamia popote anaenda na familia. Ogopa fani zinazolazimisha mme na mke kuishi mbali kwa sababu ya kazi.

Kama zipi mkuu?
 
Siku hizi uzuri wa ndoa ni Pesa tu.Kama huna pesa au mna mapunfuku katika mapato ya kyuendesha familia hata ukiolewa/kuoa nani upendo kwenye familia ni sifuri.

My friend, money is not happyness kama unabisha angalia wenye pesa wake zao wana lala na house boys wao, na pia wanalia usiku kucha nyumba haina amani wala raha, mume anarudi asubuhi mke anachunwa na maserengeti, mume bize na wanafunzi na machangu. Mke mwema na Mume mwema, na ndoa yenye amani na furaha inatoka kwa mungu, na imepewa kibali na mungu mwenyewe. Pesa is ina play part ndogo sana kwenye maadili ya ndoa. Sijaolewa but nalijua hilo.
 
My friend, money is not happyness kama unabisha angalia wenye pesa wake zao wana lala na house boys wao, na pia wanalia usiku kucha nyumba haina amani wala raha, mume anarudi asubuhi mke anachunwa na maserengeti, mume bize na wanafunzi na machangu. Mke mwema na Mume mwema, na ndoa yenye amani na furaha inatoka kwa mungu, na imepewa kibali na mungu mwenyewe. Pesa is ina play part ndogo sana kwenye maadili ya ndoa. Sijaolewa but nalijua hilo.



Naona wewe utanifaa sana tu.
 
Ha ha ha ha...
hi thread imenifurahisha maana mie nnaye teacher
wangu almost tabia mlizozieleza ndivyo zilivyo
tatizo lao kwa vile anakaa muda mrefu na wanafunzi
humfanya mmewe kama student vile utaelekezwa hata pasipoelekezwa
utafundishwa hata yasiyofundishika na kuna wakati utafananishwa na wanafunzi wake

ila kwa malezi ya watoto ni namba wani
si unakumbuka ulipokuwa msingi walivyokuwa wanabana
kupigwa round kitu cha kawaida, ndivyo wanavyowabana watoto
wakali hao...
hapo kwenye red una maana gani? ni round ipi unamaanisha?
 
Back
Top Bottom