Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Kusema ukweli kuna kitu huwa inabakia kwenye kona fulani moyoni mwa mmoja wenu. Tena kama kashughuli kalikuwa kakubwa basi ni hatari wakikutana na kukumbatiana. Hazitapita siku utasikia tuu tayari wamecheza rafu.