Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Si mchezo hata mimi ningekuwa Rais ningempa u-PA huyu mlimbwende!
Hapo umenena Lmao!!!!!
Si mchezo hata mimi ningekuwa Rais ningempa u-PA huyu mlimbwende!
Khadija Koppa --Kinondoni.
Asha Baraka " Twanga Pepeta" --Temeke
Ray C--Ilala
Hawa ndio al maarufu wa muungwana!!!
Si mchezo hata mimi ningekuwa Rais ningempa u-PA huyu mlimbwende!
Getruda Lwakatale kutoka ubunge wa kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya Kilombelo
vyeo vya UDC ni shukrani inayotolewa kwa mtu kutokana na mchango wake kwa either presd, Vice presd na mara nyingine PM. ni nafasi ambazo ukiorodhesha wanawake wengi walioteuliwa hivi karibuni si kwamba ni good performers ila utakuta kuna scenerio nyuma yake.
MA DC makini waliowahi kuteuliwa miongoni mwa wanawake ni huyo wa arumeru na Dr. NCHIMBI wengine hao vimeo aka chakula ya wanene.
umefika wakati DC's na RC's wapigiwe kura na Wananchi.[/QUOTE :/ Mmmh!! Ya kweli hayo?
Maunda Zorro (ilala) ,na Lady jaydee(Tarime)
Wakuu tujadili ni wanawake gani Mashuhuri wanaweza kukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010 maana idadi hii ya uwakilishi wa akina mamabado haitoshi kabisa. Mimi naona kina Fatma Almasi Nyangasa, Shyrose Bhanji, Vicky KAMATA and the list goes on and on...wana nafasi ya kuchaguliwa kama wakuu wa wilaya baada ya uchaguzi 2010.
vyeo vya UDC ni shukrani inayotolewa kwa mtu kutokana na mchango wake kwa either presd, Vice presd na mara nyingine PM. ni nafasi ambazo ukiorodhesha wanawake wengi walioteuliwa hivi karibuni si kwamba ni good performers ila utakuta kuna scenerio nyuma yake.
MA DC makini waliowahi kuteuliwa miongoni mwa wanawake ni huyo wa arumeru na Dr. NCHIMBI wengine hao vimeo aka chakula ya wanene.
umefika wakati DC's na RC's wapigiwe kura na Wananchi.[/QUOTE :/ Mmmh!! Ya kweli hayo?
Hao wanawake sita wote wanafanya kazi vizuri sana kwenye wilaya zao............hakuna hata mmoja amevurunda,wewe huwezi ropoka chakula cha wanene wakati hata wilayani kwao hujawahi fika!wakusema juu yao ni wananchi wa wilaya husika sio wewe unaye mjaji mtu kwa kumwangalia kwenye gazeti au kumwona dakika moja kwenye tv....wacheni uzushi....mtasutwa!
JOCYE KIRIAkwa vigezo vip mfukunyuzi?
Hao wanawake sita wote wanafanya kazi vizuri sana kwenye wilaya zao............hakuna hata mmoja amevurunda,wewe huwezi ropoka chakula cha wanene wakati hata wilayani kwao hujawahi fika!wakusema juu yao ni wananchi wa wilaya husika sio wewe unaye mjaji mtu kwa kumwangalia kwenye gazeti au kumwona dakika moja kwenye tv....wacheni uzushi....mtasutwa!
Wacha kelele wewe. Danganyanyeni huko ndani ya CCM kwenye hivyo "vikao vya ndani", sio hapa
Rev,sasa huyu si chadema au bado watamfikiria?Nakaaya Sumari
vp wale wa bongofleva watapewa nini au U-RC??Khadija Koppa --Kinondoni.
Asha Baraka " Twanga Pepeta" --Temeke
Ray C--Ilala
Hawa ndio al maarufu wa muungwana!!!
WEWE NDIO MWENYE KELELE...KILA MTU MNAMWITA CHAKULA CHA WAKUBWA!kuvunjia heshima watua wazima na heshima zao hapo kila mtu ana ndoa yake na wanaheshimika tunawajua!sio wanawake wote wanahadaika kama J....kama wewe unaliwa na wakubwa wako wenzako wanawaheshimu!hovyooooo!
amerudi CCM juzi kati huenda akafikiriwa arumeru mashariki hukoRev,sasa huyu si chadema au bado watamfikiria?