Mwanamke gani mashuhuri kuukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010?

Nadhani hukuelewa nilichosema ni kelele. Umekuja hapa na kauli "Hao wanawake sita wote wanafanya kazi vizuri sana kwenye wilaya zao". Mimi nilichokataa ni kusema WOTE SITA wakati namjua fika kati yao kuna ambaye hafanyi kazi vizuri. Hayo mengine wala sikuwekea comments na vizuri umeendelea kuweka taarifa za uongo kuwa KILA MTU ana ndoa wakati kuna wasionazo na wako hapo kwenye hiyo picha!! Ukweli hauna siasa ...changanya na zako mkuu...

OK.nimekuelewa wangu!mtazamo wangu wananchi wa wilaya husika ndio watajua D.C wao ni mchapakazi au la!kama upo kwa mlengwa utakuwa unajua ukweli...na kusema kweli ni ma D.C wachache ndio wapo ndani ya ndoa za kiukweli yani za kisheria....ila wengi mno wanajiheshimu sana so inaniuma nikisikia wanaitwa chakula cha wakubwa!hilo tu ndio lina nifanya nitetee!sorry kama nimekukwaza.
 
WEWE NDIO MWENYE KELELE...KILA MTU MNAMWITA CHAKULA CHA WAKUBWA!kuvunjia heshima watua wazima na heshima zao hapo kila mtu ana ndoa yake na wanaheshimika tunawajua!sio wanawake wote wanahadaika kama J....kama wewe unaliwa na wakubwa wako wenzako wanawaheshimu!hovyooooo!



nani kaliwa tena jamani?hakuna mla watu ila mbakaji ambao ni CCM wanabaka mali zetu...usisahau kumpigia Dr. Slaa
 
Wadau mzaha mzaha jipu hutumbuka mzaha....hayawihayawi huwa sasa wakina mama ma dc bado hatujawajua ila baba huyoooo!Nape Nnauye ateuliwa kuwa D.C wa MASASI.........................................mpoooo???
 
Ma-DC.jpg

Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.

Wakuu tujadili ni wanawake gani Mashuhuri wanaweza kukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010 maana idadi hii ya uwakilishi wa akina mamabado haitoshi kabisa. Mimi naona kina Fatma Almasi Nyangasa, Shyrose Bhanji, Vicky KAMATA and the list goes on and on...wana nafasi ya kuchaguliwa kama wakuu wa wilaya baada ya uchaguzi 2010.

regia mtema na maulida anna komu
 
Kama usipokuwa maarufu JK atakujuaje?
Ingekuwa enzi za Nyerere usalama wa Taifa walifanya kazi yao na mtu anaeteuliwa anakuwa Cream
Not nowdays watu wanauza suraaaaaaaaaaa tuu kesho DC
 
Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.

Baada ya mafunzo ya siku 3?
 
Vigezo vya kuwa DC ni vipi?Je Kuna anayejua JOB Description ya DC. mimi ninachojua DC anapokea wageni wa wilaya,hasa UJIO wa Mwenye Kaya.ila ingekuwa vizuri job Descriptions ziwekwe online,hasa za public jobs e.g DC ,RC,Dawani,etc and ofcourse za First lady,kwani sometimes unasikia Firstlady and anasomema/mewa risala.pia anatoa ahadi za serikali,hapo unajiuliza what is the Job Description yake,is is a job to be a 1st Lady.mbona sijawahi kusikia Mrs.Bush akitoa risala,or for that being Mrs.Ruth Kibaki wa kenya.
Jamani nielimisheni ktk hili
Ma-DC.jpg

Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.

Wakuu tujadili ni wanawake gani Mashuhuri wanaweza kukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010 maana idadi hii ya uwakilishi wa akina mamabado haitoshi kabisa. Mimi naona kina Fatma Almasi Nyangasa, Shyrose Bhanji, Vicky KAMATA and the list goes on and on...wana nafasi ya kuchaguliwa kama wakuu wa wilaya baada ya uchaguzi 2010.
 
Sifa za u - DC moja ni kiupitiwa na mwenye kajya ili akitembelea huko apate kula kiporo. Zingine ni za ovyo ovyo kama ulikuwa mpambe mzuri katika kampeni za urais. Ulikuwa unakati mbele yake nk hapo una uhakika wa kupata u-DC
 
Sifa za u - DC moja ni kiupitiwa na mwenye kajya ili akitembelea huko apate kula kiporo. Zingine ni za ovyo ovyo kama ulikuwa mpambe mzuri katika kampeni za urais. Ulikuwa unakati mbele yake nk hapo una uhakika wa kupata u-DC

acha kashfa jamani!ina maana hata hao madume wamepitiwa?
 
kakangu safari ni safari kwa hiyo mume halali wa josephine wa silaa atapata umkuu wa mkoa sio?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom