Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,710
asante, asililize ushauri wa mwanamke na kuufanyia kazi
ila awe mfanya maamuzi wa familia
kudundwa, nope!
rejea mada ya mtambuzi,mwanamke lazima adundwe walau kidogo...lol
asante, asililize ushauri wa mwanamke na kuufanyia kazi
ila awe mfanya maamuzi wa familia
kudundwa, nope!
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?
Badala ya "kudemand" upatiwe nini kwenye mahusiano, jiulize wewe utatoa nini kwenye mahusiano? Kosa letu wengi tunakwenda kwenye mahusiano na orodha ya mambo tunayoyataka, badala ya kwenda na orodha ya mambo tutakayoyatoa. Matokeo yake tunaishiwa kuchanganyikiwa!
GOD IS NOT INTERRESTED IN YOUR HAPPINESS, BUT YOUR CHARACTER! Orodhesha kile utakachotoa wewe, mengine yote yatafuata nyuma! Hapo utafanikiwa katika mahusiano yako.
kama alikupata Rose garden kwa nini asiendelee kwenda sebuleni kwake?
Mie hapo ndo husema wanawake hawaishi kwa uhalisia.
Kama unataka mwanamme wa kupenda kukaa nyumbani tafuta wa aina hiyo.
Sasa kama mlikutana bar, leo unamkataza kwenda bar, it doen not make sense to me.
you are right kabisa but when a woman's needs are fulfilled she will be more willing to fulfill her man's needs.
Kweli kabisa mama isaac, tena hapo kwenye note ndio panawashinda hawa watu.
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?
natamani wangeelewa na kubadilika jaman
Nimevitimiza na vimerudi na kuwa majuto..... Mahitaji kwa mwanamke hayaishi na yanabadilika OVYO OVYO na wakati mwingine GHAFLA km hali ya hewa isiyotabirika........ Na sababu kubwa wanawake hamridhiki, tosheki, sometimes hamkubaliani na hali halisi (UHALISIA) uliopo wakati huo.....
Women, u r so undefined and ur thinking is so parochial (am sorry 2 say ths).... probably that's the reason.... the source of problems..........
its not a formula though
Hili ndilo tatizo lenu wanawake, mnaweza sana kueleza kile mnachokitaka/mahitaji yenu, lakini mkiulizwa nyie mnatoa nini in return kwa mwanaume, mnakuwa hamjui na wengi wenu mnakimbilia kudhani kuwa mambo ya kwenye 6x6 is the best thing you offer to a man.
Kwa kudai tu hamjambo, lakini kwa kutoa mhhhhhhh!
sio kweli,wengine 2nafahamu what we need and what to offer,may be hujabahatika kupata anaejua kucmama kwnye nafasi yake vyema
Sure it is not a formula; but at least you will reflect back, and say "I fulfilled my obligations". This is more satisfying than blaming someone only for the problems that may be originating from you! You can control what you have, you cannot control what someone else has to offer!
That's the crunch of the matter!