Now you are talking!We surely have savages..like this Kisesa monster.
Hii habari imeenea Canada..watanzania tunaonekana kama mashetani flani hivi.Dah!!! Sijui kama wale waafrika wanaoishi huko canada watasalimika! Hasa watanzania...
Dah hawajafikia hatua hiyo mkuuAu jamaa alifikiri ni albino maana hizi imani za hawa ndugu zetu wa kanda ya ziwa zina walakini
Kwa kweli poleni maana hii inatia kichefuchefu.Hii habari imeenea Canada..watanzania tunaonekana kama mashetani flani hivi.
Waziri anaehusika atoe kauli juu ya hili.huyu mama anarudi nchini karibuni.Nafikiri atafurahi akikuta wahusika wote wameshikwa. mbakaji pamoja na waomba rushwa katika kesi hii mbaya.
Hivi wale mabinti waingereza waliomwagiwa tindikali huko Zanzibar waliishia wapi? Na wao walikuja kwa kujitolea kufundisha watoto lugha ya kiingereza. Majamaa MAPUMBAVU yakafanya UPUMBAVU.
Yes, ni hawa.
Nafikiri unawaongelea hawa. Katie Gee na Kirstie Trup. Gee alijiunga chuo kikuu,huyu mwingine sina habari zake.Picha hii ni kabla hawajamiminiwa tindikali.
Duh! Basi sawa.Picha zao baada ya kumwagiwa tindikali huwezi kuzitizama mara mbili..zinatisha.Na waliofanya unyama hawajashikwa mpaka leo.
Ndiyo maana siku muona muda sana nikajua labda yupo mkoa mwingine kumbe ngosha alishafanya yake nakumbuka alituambia ata huko wanapoenda kujenga shule watu wanataka pesa tu paka atuuliza Tanzania tupo aje yeye anajitolea watu wanataka pesa tu sijui nchi gani huyo mpuuzi aliye mbaka ingefaa anyongwePole ndugu yangu..taarifa nd'o hizo. Lakini anarudi..usihofu. Ila mumlinde asifanyiwe vitendo visivyofaa tena.
Waafrica ndio maana tulitawaliwa na bado tuna mawazo ya kitumwa.On the contrary. We have a good number of savages.
Asilimia kubwa ya sisi waAfrika bado ni WATWANA vibaya mno mkuu.Waafrica ndio maana tulitawaliwa na bado tuna mawazo ya kitumwa.