Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Sasa Mwafrika wa kike unataka kubisah mwanakijiji sio Lula wa Ndali?Mie sina ugomvi na Mwanakijiji ila nataka awe anatumia jina Moja katika Makala Zale,leo sio hivi kesho hivi..
Hizo nguvu zako za "kutaka" umezitoa wapi, yaani ukitaka nilale nilale, nitembee nitembee kwa sababu Gembe kataka!? Matakwa mengine ya kipumbavu (na ninamaanisha hivyo siyo tusi). Unataka wewe kama nani wangu?