KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
hahaaaa, hapo nimecheka sana !
toa ushahidi wako kuwa mwanakijiji ndiye john mashaka; maana kama kuna mtu alitaka kumfanyizia Mwanakjj akaenda kumfanyizia JM kwa sababu ya kuamini upuuzi wako sijui kama utakuja kuomba msamaha.
Wenzako tumeshajua ni nani isipokuwa wewe tu. Tuna mtu wetu hapo NY na leo kapiga kuulizia kama ndiye "yeye".. Siyo kukurupuka tu, kwanini awe yeye na wewe usiwe yeye? kwa hiyo unachosema kuwa
John Mashaka (Mwanakijiji) ndiye
Madela wa Madilu
Koba
Mwafrika wa Kike
n.k
Wakati mwingine sijui una chuki au una mapenzi kwa huyu bwana maana wewe huchangii kitu kingine chochote hapa isipokuwa kila ukiingia ni "mwanakjj". Sasa ndugu yetu Mswahili=Chinga=Kamundu=Mtalii kwanini na wewe usijiseme ni nani au unapenda miye nijitolee kuwaambia wewe ni nani. Nilikuona juzi ofisini kwako nikakudharau kama watu wangejua unayoyaandika humu.
Bosi kasema tukuangalie na miye nimechoka kuangalia. Nadhani wakati umefika wa kukutangaza ni nani ili watu wajue hata hiyo nafasi uliyonayo huistahili.
Mzee wa kijjiji: sikutetei hivyo usianze kupata bichwa.
Asante sana.
Hatimaye ameamua kujitoa kwenye BLOGS mbali mbali kwa ajili ya kampeni za kisiasa, jee ataweza kusaidia Chadema kama mbunge wao?
makubwa haya, madogo yana afadhali
nshamchoka mimi huyu bibi, mtu ana nafasi kubwa serikalini lakini mambo yake humu yanakera na kukera. Alete ushahidi kuwa John ni Mwanakijiji amasivyo, mimi nitaleta ushahidi kuwa yeye ni nani.
asanteni.
.......................................
............
Mzee wa kijjiji: sikutetei hivyo usianze kupata bichwa.
......
toa ushahidi wako kuwa mwanakijiji ndiye john mashaka; maana kama kuna mtu alitaka kumfanyizia Mwanakjj akaenda kumfanyizia JM kwa sababu ya kuamini upuuzi wako sijui kama utakuja kuomba msamaha.
Wenzako tumeshajua ni nani isipokuwa wewe tu. Tuna mtu wetu hapo NY na leo kapiga kuulizia kama ndiye "yeye".. Siyo kukurupuka tu, kwanini awe yeye na wewe usiwe yeye? kwa hiyo unachosema kuwa
John Mashaka (Mwanakijiji) ndiye
Madela wa Madilu
Koba
Mwafrika wa Kike
n.k
Wakati mwingine sijui una chuki au una mapenzi kwa huyu bwana maana wewe huchangii kitu kingine chochote hapa isipokuwa kila ukiingia ni "mwanakjj". Sasa ndugu yetu Mswahili=Chinga=Kamundu=Mtalii kwanini na wewe usijiseme ni nani au unapenda miye nijitolee kuwaambia wewe ni nani. Nilikuona juzi ofisini kwako nikakudharau kama watu wangejua unayoyaandika humu.
Bosi kasema tukuangalie na miye nimechoka kuangalia. Nadhani wakati umefika wa kukutangaza ni nani ili watu wajue hata hiyo nafasi uliyonayo huistahili.
Mzee wa kijjiji: sikutetei hivyo usianze kupata bichwa.
Asante sana.