MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,597
- 30,121
duh,pole sana mkuu,lakini mbona kama picha ni ya siku nyingi.nimeuliza tu,usinifikirie vibaya.
No kaka siwezi kudanganyia maumivu,siwezi ombea nivamiwe,siwez danganyia matatizo, hapa ni upenzi wa jf lakini nipo wodin picha hiyo imepigwa na cm ndogosana kisha nikaziomba kadoda11
Last edited by a moderator: