Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,086
- 2,547
Asante..Wadada siku izi ni biashara
Katika 100% walio pure decent ni 3%(nikiwemo mimi) . . .wengine gusa unate
Mapenzi ya sasa ivi ni money and the power(kuwa na pesa umiliki vitu vizuri)
Asante..Wadada siku izi ni biashara
Katika 100% walio pure decent ni 3%(nikiwemo mimi) . . .wengine gusa unate
Mapenzi ya sasa ivi ni money and the power(kuwa na pesa umiliki vitu vizuri)
Mimi ni profesional hacker mkuu,i will hack all pm!Na unampataje wakati pm za wadada zote zimefungwa? au kwa nilizozijaribu?
Astaghafirullah.Sa kama mtu ana nyege unataka akuvutie muda wa kazi gani? Ukifanya leo ukifanya mwakani vyote umefanya tu.... Ndugu nyege hazivumiliki
Kwamba?????Astaghafirullah.
Easier said than done.Mimi ni profesional hacker mkuu,i will hack all pm!
Sijafaham tatizo nini lakini kwa hili wimbi la wanawake wa sasa kuwayawaya kama Tanga lililokosa Nahodha magonjwa yatakuwa mengi sana. Huyu dada nmefahamiana naye siku chache sana kwa kumpa Lift kama mara mbili tatu hivi nikimkuta kituoni ambako huwa napita kumpitia jamaa yangu. siku ya kwanza nilimkuta amesimama na nimchukua jamaa yangu naye nikamwambia apande. siku nyingine tena. mara ya tatu akaweza kunisemesha baada ya jamaa yangu kushuka. akaomba na namba ya simu.
weekend hii akanialika kwake kwa kuwa alikuwa na birthday akanambia nipite kumsalimu. nilikuwa napita maeneo hayo sikuwa na hiyana. nikapita kwake. nikakuta wapo na wenzie wa kike watano wa na jamaa wawili. basi ikawa wakat wa kulishana keki akataniwa mlishe bwana wako uliyemleta leo kututambulisha. yule dada mwanaisha hakukataa kuwa mi si bwana ake, akacheka na kunilisha kimahaba. kama masikhara akanibandika na kiss mdomoni huku amenikumbatia. nilipigwa ganzi kwa kweli.
baada ya muda watu wakawa wanaaga na yeye alisisitiza nibak kwanza nimsaidie kufungua zawad. sikutaka sana kukaa lakini nilishawishika kutokana na kunibembeleza kwake na ukichukulia ni dada wa haja hasa wa Kitanga,mzuri,ana rangi,sura na sauti ya kudeka.anajua kubembeleza. baada ya kumaliza kufungua zawadi yule dada akawa ameenda kujaribu nguo chumban. akaniita niende kumsaidia kufunga zip.sikujua, sikujua.kumbe ndani hakuvaa kitu.kama alivyozaliwa yaani mtupu kabisa. basi nikajikaza na kumfunga zip baadaye akanambia nimfungue kwenye kuvua.... maskin mimi. nlishindwa na hali iliyokuwepo mle ndani nikatoka nje nikihema na kuweweseka moyoni. nikaenda kuwasha gari nikajiondokea huku nikiwa ktk hali mbaya sana. akawa akinipigia simu nikamwambia nlikimbia coz sikuwa na uwezo wa kujizuia na hatukujiandaa kwa sex.
leo nimekuja jifunza wadada wa sasa wamekuwa warahisi sana.
1.ukifahamiana na dada kwa sasa ndani ya week moja anaweza kukuomba umsaidie au umkopeshe pesa. hii imetufanya wanaume tuwe waoga sana kuzoeana na wadada
2. ukifahamiana na mdada kwa maisha haya ndani ya siku 3 unaweza ukasex naye. sasa unajiuliza mpaka hapo amesha sex na wangap kwa kasi hiyo ya 4G?
3. wadada wa sasa si waoga kuomba ombea pesa ndan ya siku mbili tu utasikia naomba 20,000 au 50,000, au atakueleza amepatwa na janga umsaidie pesa. na wamekuwa wabunifu sana wa kutengeneza majanga ya kuwaonea huruma.
dada mwanaisha ni mzuri, ni mzuri sana ana miaka 30 hajaoelewa. kwa nini? ni dada mzuri sana kusema ukweli. najiuliza ni nini kimemsibu huyu dada? alikusudia nini kwa siku ya jana kutaka kunishawishi tufanye mapenzi tena si salama? mwanaisha ....umepatwa na nini dada?
dada zangu tulieni mtapata waume.wala hamna haja ya kuwashawishi kwa style hiyo. sikatai kuna mapenzi unaweza mpenda mtu.ni jambo jema ila weka heshima tafadhari.
Easier said than done.