imbegete
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,299
- 989
Zamani mimi nilikiwa namjua miss chaga tu, kwamba yeye anachojari ni pesa tu, kwani alisha tangaza hivyo. Sasa hawa wengine imekuawaje?Wadada siku izi ni biashara
Katika 100% walio pure decent ni 3%(nikiwemo mimi) . . .wengine gusa unate
Mapenzi ya sasa ivi ni money and the power(kuwa na pesa umiliki vitu vizuri)