Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mwakeyeee, wengine sibhota, mwagumaaa?
Kuna dada mama ntilie nilikuwa nakula chakula kwake na nilikuwa nampelekea wateja sana ambao walihtaji chakula wakiwa ofisini kwangu basi nilihakiksha wanakula pale. Niliamua penzi akanichomolea akidai yeye mambo hayo hapana wakati huo ni single mama na baba wa mtoto alilala mbele.
Aliponichomolea nikamwambia poa mi taendelea kula kwako tuwe kama dada na kaka tu hilo lingne nimefuta. Sasa ajabu akawa na wivu sana na mimi hata hapo kazini kwake akawa hataki dada yeyote aongee na, mimi yuko tayari atoke huko atokako kwaajili yangu tu lengo likiwa nisiongee au kuhudumiwa na dada mwingine pale ofisini kwake.
Sasa siku moja nlikutana naye njiani nikiwa na shemeji yangu mdogo wa mwanamke ninayeishi naye ajabu nilimsalimia hakuitkia, tokea hapo akawa ananipita tu popote tunapokutana na mimi nikawa siachi kumpa hi bila kujali anaitikia au laah.
Last week niliamua kumfungia kazi rasmi, nimeacha enda kula pale kwake na nikikutana naye nampita kama simjui.
Je wakuu huyu dada ananitafuta nini au nakosea wapi?
Kuna dada mama ntilie nilikuwa nakula chakula kwake na nilikuwa nampelekea wateja sana ambao walihtaji chakula wakiwa ofisini kwangu basi nilihakiksha wanakula pale. Niliamua penzi akanichomolea akidai yeye mambo hayo hapana wakati huo ni single mama na baba wa mtoto alilala mbele.
Aliponichomolea nikamwambia poa mi taendelea kula kwako tuwe kama dada na kaka tu hilo lingne nimefuta. Sasa ajabu akawa na wivu sana na mimi hata hapo kazini kwake akawa hataki dada yeyote aongee na, mimi yuko tayari atoke huko atokako kwaajili yangu tu lengo likiwa nisiongee au kuhudumiwa na dada mwingine pale ofisini kwake.
Sasa siku moja nlikutana naye njiani nikiwa na shemeji yangu mdogo wa mwanamke ninayeishi naye ajabu nilimsalimia hakuitkia, tokea hapo akawa ananipita tu popote tunapokutana na mimi nikawa siachi kumpa hi bila kujali anaitikia au laah.
Last week niliamua kumfungia kazi rasmi, nimeacha enda kula pale kwake na nikikutana naye nampita kama simjui.
Je wakuu huyu dada ananitafuta nini au nakosea wapi?