KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
tatizo si kusalimiana kwa tamaduni zetu za kitanzania huwezi kwenda kwenya shughuli na kusalimia watu wote na kumruka mwingine , kumbe nawewe ulikuwepo katika msiba huu. kubenea alisalimu watu wote kuanzia mwanzo wa mstari mpaka mwisho kwahiyo hakukuwa na sababu ya kutosalimu watu wengine
wote tunaishi katika taifa huru usiache kumsalimu jiradi yako sababu ni jambazi
Mbona mmeng'ang'ania kwenye hoja nyepesi hiyo ya kusalimiana???!!!mi sijaona mahali popote mleta thread alipohusisha kusalimiana zaidi naona hiyo picha ndio wengi imewababaisha,issue hapa ni kubenea kutumika na lowassa kuzima hoja ya ufisadi na pia kuzuia mpango wa ccm kumshughulikia Lowassa..nyie si kila siku hapa mnamzomea nape na kuhusu ccm kushindwa kujivua hili (gamba lowassa)sasa miongoni mwa wanaotumika kufifisha huyu bwana lowassa kuvuliwa gamba ni kubenea na kibanda,hiyo kusalimiana sijui kupiga picha kawaida sana,kwani mnadhani jk haongei na kubenea?wanaongea sana tena na cm wanapigiana,au mnajua kwamba katika wana ccm viongozi Bernard membe ndio rafiki kipenzi wa huyo kubenea wenu???mpaka kua wakati huyo membe hiyo iltaka kumletea matatizo kwa bosi wake jk kwa kuonekana kama ndio anampelekea siri za vikao nyeti kubenea...kuna hadithi moja hapa kumhusu membe jk na kubenea sitaki kuiweka at least kwa leo,lakini kama si kubenea membe angekosa huu uwaziri alionao sasa baada ya uchaguzi wa juzi kutokana na stori iliyoleak ikulu na kuonekana kwenye mwanahalisi,jk alikua mbogo kwa kuwa katika mazungumzo hayo ikulu walikua watu watatu jk,mtu mwingine na membe,sasa kubenea aliyapataje ndio ikawa issue kwa membe,kubenea au membe kama wanasoma hapa wataelewa nazungumza nini,anyway bwana kusalimiana ni jambo la kawaida,jikiteni kwenye hoja sio picha!