Mdosi dume huyo, anajiamini sana. safari hii lazima wamlipe nyingi tu.
Huyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?
<br />Mbaya hata wakivunja katiba watashinda kesi Tanzania, kesi ikienda mahakama ya kimataifa na kusikilizwa ngoma itakuwa nzito. Hasa baada ya mwezi May mwaka huu UN waliweka access to internet is a basic fundamental human right. Ndio maana najiuliza sijui hii movie itaishiaje kwani wanavyoviomba vyengine vigumu sana kutekelezeka labda kwa ubabe na vitisho. Na vikiwa hivyo basi wajiandae kwenda kwa Ocampo maana INTERNET ACCESS IS FUNDAMENTAL BASIC HUMAN RIGHT.<br />
<br />
Ila watu wasisahau in every right comes with responsibility na moja wapo kujiepusha na kumchafua au kuchafua jina la mtu, image au reputation yake especially kama huna evidence na unayoyasema.
Mahakama si ndio chombo cha kutoa haki? Basi Manji anafanya vema kuitafuta haki mahakamani. Mwisho wa siku tutajua nani muongo ama mkurupukaji. Manji amechukua njia sahihi
Bibi ana mihela mingi benki . Bomba lake limeharibikaa ndani . Anamuita fundi fundi kucheki anagundua tatizo anamwambi bibi tatizo lilio ni miloni moja na nusu(1,500,000) . Bibi anampigia kijana wake anamwambia kuwa amepata fundi na tatizo litagahrimu milioni moja sabbau kijana wake yuko mbali anamwamabia bibi yake hela si unayo bibi anasema ndio.
Bibi anakwenda benki na fundi anataka kutoa milioni moja . kwa kuwa mhundumu wa beni wanamjua wanshangaa wanamuuliza bibi za nini anasema bomba lake limeharibika. Basi mhudumu anapiga simu Polisi kuwa bibi anataka kuibiwa na tapeli.
Polisi wanakuja nanamchukua jamaa na yule bibi. Wanapokweda polisi Bibi anasema yeye kakubaliana kabisa na jamaa hiyo milioni moja na hana tatizo. Wanakwenda nyumbani kwa bibi wataalam wataalaam wa ufundi bomba wanagundua hata kifaa gharama ya juu kabisa hata angezidisha mara mbili na ufundi wake ilitakiwa izizidi laki mbili...........
Si mambo kama hayo ndo wanapenda kuyakumbatia?chama letu la njano na kijani lazima likae nyuma ya manji
kwa kuwa linahusika moja kwa moja :whoo:
you are so cheapKazi nzuri Manji... waache kukurupuka!<br />
Chonde chonde.. ukishinda kesi yako usimuadabishe Mengi kwa kumdai sh. 1
Mkuu! hapa sijakuelewa, unaweza kufunguka zaidi? hebu changanua tena ili tukusome mzee wetuAlichofanya Manji ni preemptive strikes; DPP ndio yuko matatani hajui afanye nini na Manji. Hatua yoyote ikichukuliwa dhidi ya Manji ni maxima izingatie hizi kesi.
Huyu mtu anatoa wapi ujasiri huu?