Hii movie tamu ila kusema katika mitandao watu wasizungumze au kusema itakuwa ngumu. Sensitisation of information to the public contradicts with fundamental human right of information concerning matter of national interest (UN Charter of Human Rights). Unless if such information aimed at ruining someone image and reputation with lies and unsubstanciated accusation they can be prevented but if it something true and concern a wider public like Kagoda I sincerely doubt whether that is possible.
We are watching this nice movie :drum:
Marekani kuna sheria inayomlinda say umemuibia mtu halafu unatumia hela zake zile zile kutafuta some gd lawyers kuleta utetezi. Lakini all in all huu ni uthibitisho kwamba Hawa jamaa si kututafuna tu bali pia hawawaogopi wananchi, wala dola kwa kisingizio cha sheria hizo hizo CCM inajidai inafuata misingi yake. This is ridiculous, stupid and unbelievable, upuuzi huu huwezi kuufanya nchi nyingine yeyote inayofuata misingi ya kisheria kiukweli ukweli na si maigizo kama tunayoyaona hapa.Waliosema bongo tambararereeeeeeeeeee wala hawakukosea. Hv ile njia nyingine kwa nn haitumiki? UWT wako wapi? Nadhani sasa watu wakiambiwa madhara ya rushwa na ufisadi mifano hai wanaiona.
Hiyo tu inaonyesha ni jisnsi gani watu wa aina ya Manji wanavyojidanganya kwamba wako tht powerful and influential kiasi kwamba wanaweza kuingilia personal liberties za watu wote. Yaani jamaa anaitisha mpaka katiba........ kweli bongo tambarareeeee!
Hii movie tamu ila kusema katika mitandao watu wasizungumze au kusema itakuwa ngumu.
Sasa mkuu itakuaje kama mahakama ikizuia hadi huku kwenye forums tusizungumzie mambo ya manji?
Hii movie tamu ila kusema katika mitandao watu wasizungumze au kusema itakuwa ngumu.
Sasa mkuu itakuaje kama mahakama ikizuia hadi huku kwenye forums tusizungumzie mambo ya manji?
Haina uwezo huo! not in Tz!
serikali ya jaa la kaya ipo mifukoni mwaomdosi dume huyo, anajiamini sana. Safari hii lazima wamlipe nyingi tu.
Hii movie tamu ila kusema katika mitandao watu wasizungumze au kusema itakuwa ngumu.
Sasa mkuu itakuaje kama mahakama ikizuia hadi huku kwenye forums tusizungumzie mambo ya manji?
Kwani Manji yuko mmoja Tanzania? Wewe kina Rumanyika wako wangapi unafikiri Tanzania? Au kina Mdondoaji wako wangapi? Sifikirii atafanikiwa katika suala la kuzuia watu wasizungumzie ishue pertaining to national interest unless ishu hiyo iwe ni uzushi, umbeya, uongo hapo sasa kesi inakuwa kasheshe kwani umemuharibia mtu jina lake. China wenyewe walishindiwa kufanya sensitization wanaishia kufunga mtandao wote. Egypt Mubarak alijaribu kila njia mwisho wa siku alisalimu amri mwenyewe.
The rest mkuu wewe kandamiza tu as long unakuwa mwangalifu na reputation za watu, huenezi chuki na kutishia usalama wa nchi na raia zake na kwanini uyafanye hayo kama sio kukosa uungwana mkuu.
<br />Mdosi dume huyo, anajiamini sana. safari hii lazima wamlipe nyingi tu.