Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Usalama wa taifa wako katika idara zote za serikali. Polisi wengi walio katika idara ya detective wengi wao wapo pia kwenye usalama wa Taifa. Tusishangae kuona kama polisi waliohusika katika tukio la Ulimboka wakiwa polisi ni muda wa kazi ya ziada ya usalama wa Taifa ndio maana pengine hata katika ofisi ya polisi hakuna kumbukumbu ya watu hao kutumwa kwa kuwa wana kofia mbili.
tuliambiwa waliomtesa ulimboka serkali imeamua kuwafuatilia na kuwakamata ili ukweli uwe wazi. Je hadi sasa wangapi wamekamatwa?