carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Kuna taarifa kutoka chanzo kwa mtu wangu wa karibu aliyepo chuoni hapo kwamba mwanafunzi wa kike amefariki jana baada ya kukanyagwa na wenzie kwa kile kilichoelezwa ni kukimbilia kuwahi seat wakati wa kufanya mitihani.
Kinachonisikitisha ni kwamba, hawa ni wanafunzi watu wazima na wengine wana waume/wake na watoto lakini hawajastaarabika hadi kufikia kumuua mwenzao katika purukushani za kuwahi viti. Tena ni wanafunzi wanaotarajia kumwaliza chuo mwaka huu sio hata first year kwamba utasema bado wanao usekondari ndani yao, na inasemekana ni wanaosomea ualimu..what a shame.
Na pia nashangaa sana kwamba hata ST Augustino wana matatizo ya kutokuwa na seat za kutosha kwa ajili ya wanafunzi wao? is it fair?, mbona ada inalipwa kubwa na chuo kina wafadhili? mi nilidhani haya mambo ya kusoma mmesimama au nje ya madirisha yao tu udsm. Mbona hatuna ustaarabu kwenye elimu jamani.
Mwisho natoa pole kwa familia ya huyo marehemu na Mungu aiweke pema roho yake. Amen.
Kinachonisikitisha ni kwamba, hawa ni wanafunzi watu wazima na wengine wana waume/wake na watoto lakini hawajastaarabika hadi kufikia kumuua mwenzao katika purukushani za kuwahi viti. Tena ni wanafunzi wanaotarajia kumwaliza chuo mwaka huu sio hata first year kwamba utasema bado wanao usekondari ndani yao, na inasemekana ni wanaosomea ualimu..what a shame.
Na pia nashangaa sana kwamba hata ST Augustino wana matatizo ya kutokuwa na seat za kutosha kwa ajili ya wanafunzi wao? is it fair?, mbona ada inalipwa kubwa na chuo kina wafadhili? mi nilidhani haya mambo ya kusoma mmesimama au nje ya madirisha yao tu udsm. Mbona hatuna ustaarabu kwenye elimu jamani.
Mwisho natoa pole kwa familia ya huyo marehemu na Mungu aiweke pema roho yake. Amen.