Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Kwa mtazamo wangu hata theory ya evolution nayo naichukulia kama inazumgumzia uumbaji, wha if mungu mwenye ndiye aliyetengeneza hizo amino acids?
Nani anaweza kusema ndiyo au hapana katika hili?
Mmsai, mchina na muhindi wanaweza wekwa kundi moja la human civilization kama tukiangalia vitu fulani kama family authorities etc.
Misingi ya Uumbaji ime base katika hii notion kuwa viumbe waliumbwa kama walivyo.Na muumbaji alijua anachotaka fanya na kukifanya.

Kila kiumbe kilipewa njia yake ya kuishi na kuzaana na haibadiliki wala kubahatishwa miaka nenda rudi.Evolution ni mabadiliko yasiyo na "control" katik muda fulani na yanategemea bahati bahati tuu kupata kiumbe.Na hii ilishawahi waingiza mtegoni waislam,hasa wale waislam wanaoilazimisha dini yao iendane na sayansi na hivyo kujikuta wakipinga uumabaji kwa mlango wa nyuma.

Kwa upande wa Ukristu wasomi wengi walijiuliza maswali ya biblia na kufanya tafiti ili kuyajua,mwishowe wakapata mawazo mapya na mazuri na ubunifu katik sayansi.
 
Kama mungu anajua yote, hata yale yajayo logically maana yake mungu ndiye anayepanga kila kitu.
Kwahiyo wakati anamuumba shetani alijua matokeo yake na akaona ni sawa, ikawa jioni ikawa asubuhi siku nyingine akaumba jehanamu akijua atakuja mchoma mwanadamu.
Hivi mungu anayetupenda anaweza kuumba jehanamu kabla hata ya mwanadamu.
Mi naogopa kumsingizia mungu.

Kujua yote si kupanga yote.Mungu anaweza jua yote na kuruhusu baadhi kwa vile sheria inaruhusu anayesaidiwa kukataa msaada.

Kwani kama Jehanum ni ya shetani na mwanadamu akalilia mfuata kwa kufuata uovu Mungu afanye nini?Yeye hakai cha uchafu.Ndio maana kaweka njia ya kujitakasa ili tuwe safi(kupitia toba na msamaha atoao).sijui huruma gani unadhnai ingepaswa kuwepo.Bado ni binadamu ndiye mwenye uhuru wa kuchagua.Hujaona watu wanaamua kuiba hata kama kunahitaji nguvu nyingi zaidi ya kufanya kazi halali.Hujaona bado watu wanahagua uchawi na si Mungu.Sasa yeye akusaidie vipi kama umeamua asiwe bwana wako? Ni vipi ufanye kazi kwa mwajiriwa aliyefukuzwa kazi halafu umdai ujira tajiri.Hizo ndizo dili za shetani asiye na kitu,kumtamanisha binadamu na vitu vizivyo vyake.Kam hujui hili waulize wanawake wanojikuta wakipata minda toka kwa madereva just baada ya kuona magari ya mabosi mazuri.mwisho wa siku hayo magari huwa hawayaoni tena na kuanza maisha huku wakitembea juani na watoto wao.
 
Suala la Quran kusema sijui aliumbwa kwa manii,au udogo au hata tone la damu au lah na kwa siku 6 au 7 sioni nafasi yake hapa labda kama watu wana nia ya kubishana na kudhalilishana.Na hii itafanayika wanapokuja kukaa pamoja na kuanza kugombania waumini na hivyo kila mtu kutaka dini yake ionekane sahihi zaidi.Ila natumaini wasomi wa Kiislam wanaweza tolea majibu na Wakristu kuelekeza maswali yao .

Hapa wote kwa pamoja wamesimama katika "uumbaji" na kambi ya pili ya sayansi ya Darwin ina maelezo ya "Evolution".Wote wakichemsha wote wanapoteza,ila mmojawapo akishinda wote wanakuwa wameshinda ila baadaye ndipo watadai nani kashinda ili kuiba waumini.Kuna wanasayansi kambi zote mbili na wote wanatofautian uaminifu wa fani zao,kwani wengine wanatetea malengo na si ukweli.Yaani kama mwanasheria anayemtete muuaji na akaweza shinda kesi.Hpa anakuwa si kuwa hajui jamaa kaua,ila anataka sana huo ushindi,kuliko haki na kweli.
 
Kujua yote si kupanga yote.Mungu anaweza jua yote na kuruhusu baadhi kwa vile sheria inaruhusu anayesaidiwa kukataa msaada.

Kwani kama Jehanum ni ya shetani na mwanadamu akalilia mfuata kwa kufuata uovu Mungu afanye nini?Yeye hakai cha uchafu.Ndio maana kaweka njia ya kujitakasa ili tuwe safi(kupitia toba na msamaha atoao).sijui huruma gani unadhnai ingepaswa kuwepo.Bado ni binadamu ndiye mwenye uhuru wa kuchagua.Hujaona watu wanaamua kuiba hata kama kunahitaji nguvu nyingi zaidi ya kufanya kazi halali.Hujaona bado watu wanahagua uchawi na si Mungu.Sasa yeye akusaidie vipi kama umeamua asiwe bwana wako? Ni vipi ufanye kazi kwa mwajiriwa aliyefukuzwa kazi halafu umdai ujira tajiri.Hizo ndizo dili za shetani asiye na kitu,kumtamanisha binadamu na vitu vizivyo vyake.Kam hujui hili waulize wanawake wanojikuta wakipata minda toka kwa madereva just baada ya kuona magari ya mabosi mazuri.mwisho wa siku hayo magari huwa hawayaoni tena na kuanza maisha huku wakitembea juani na watoto wao.

Hebu turudi nyuma kidogo, hivi kwanini mungu alimuumba shetani.
Sawa tunaambiwa alikuwa malaika lakini mungu si alijua kuwa huyo jamaa ataasi?
Mfano yesu alijua yuda atamsaliti ila akamuacha ili kazi yake(yesu) itimie, sasa kwanini tusiseme kwamba huo ulikuwa sehemu ya mpango kama jibu ni ndiyo, kwanini isiwe kwa shetani?
 
Hebu turudi nyuma kidogo, hivi kwanini mungu alimuumba shetani.
Sawa tunaambiwa alikuwa malaika lakini mungu si alijua kuwa huyo jamaa ataasi?
Mfano yesu alijua yuda atamsaliti ila akamuacha ili kazi yake(yesu) itimie, sasa kwanini tusiseme kwamba huo ulikuwa sehemu ya mpango kama jibu ni ndiyo, kwanini isiwe kwa shetani?

Mi sidhani kama kujua kunamaanisha kupanga.Unaweza jua kuwa mwizi anakuja ila si wewe ulimtuma.Unaweza jua mpezi wako atakuja kusaliti na kutafunwa na mwanamume mwingine ila si wewe uliyepanga akusaliti.Nadhani imekuingia.
 
Mi sidhani kama kujua kunamaanisha kupanga.Unaweza jua kuwa mwizi anakuja ila si wewe ulimtuma.Unaweza jua mpezi wako atakuja kusaliti na kutafunwa na mwanamume mwingine ila si wewe uliyepanga akusaliti.Nadhani imekuingia.

Do you have control over the situation? If the answer is yes & you have let it go maana yake umeamua yatokee kwa hiyo umepanga "kutochukua" hatua ili yatokee.
 
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa asilimia 10 tu!Yaani pamoja na vituko vyote hatujaweza hata kutumia asilimia 50!Kumbe inawezekana ikawa sababu ya upofu wetu wa kujijua na kujua kuhusu nguvu zinazotuzunguka kama Mungu n.k,au ndo maana tunaamini katika hizo nguvu,yaani huenda hazipo na tunashindwa kujua hazipo kwa sababu hatufikiri vyema!
Mwanadamu inje ya Mungu hawezi kutumia uwezo wake kama Mungu alivyokusudia. Uwezo pekee wakumfanya mwanadamu atumie kile alichopewa unapatikana kwa YESU TU
 
Mungu kamuunba binadam kwa mfano wake yy...u can certainly do exactlt what he does

John 10:34; you are gods.

Uwezo wa binadamu unazuiwa na shetani anayemfanya binadam aamini kuwa hawezi na hajiwezi. Si bahati mbaya sana kuwa Maendeleo makubwa ya sayansi yamekua sana katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni tu (Binadamu amebadirika sana ndani ya miaka 1000) iliyopita kuliko alivyobadirika miaka 10,000 kabla ya hapo.

Je shetani yupo kikweli kweli kama nafsi? Siamini hivyo. Shetani si nafsi, bali ni mawazo mabaya na mwelekeo mbaya ndani ya nafsi halisi za binadam.

Binadam ana uwezo mkubwa sana na atautawala ulimwengu wote; achilia mbali tu dunia hii. Wengi wanajiuliza ikiwa mwanadam kweli anao uwezo mbona bado anakufa kama mbwa? kama swala? kama wanyama na wadudu wengine tu? Ni kweli kuwa bado binadam anakufa. Sayansi ndo bado inaanza kufanya mambo yake. Njia za kisayansi ndo njia za mungu. Shetani (Negative tendency) siku zote kazi yake ni kubeza kile ambacho mwanadamu amefanikiwa kukipata na ndo huyu huyu (shetani) anayetumia nguvu kupinga na kubeza kile kinachofanywa kisayansi.

Mbinu za kisayansi ni mbinu za Kimungu (Mungu si nafsi hai - Bali ni mwelekeo positive uliopo katika nafsi hai). Lengo la hao waitwao mitume ni kuleta maarifa. Maarifa yameshafika katika sayansi. Tukune vichwa vyetu, binadam atakuwa anaishi bila kufa miaka si mingi ijayo!!
 
John 10:34; you are gods.

Uwezo wa binadamu unazuiwa na shetani anayemfanya binadam aamini kuwa hawezi na hajiwezi. Si bahati mbaya sana kuwa Maendeleo makubwa ya sayansi yamekua sana katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni tu (Binadamu amebadirika sana ndani ya miaka 1000) iliyopita kuliko alivyobadirika miaka 10,000 kabla ya hapo.

Je shetani yupo kikweli kweli kama nafsi? Siamini hivyo. Shetani si nafsi, bali ni mawazo mabaya na mwelekeo mbaya ndani ya nafsi halisi za binadam.

Binadam ana uwezo mkubwa sana na atautawala ulimwengu wote; achilia mbali tu dunia hii. Wengi wanajiuliza ikiwa mwanadam kweli anao uwezo mbona bado anakufa kama mbwa? kama swala? kama wanyama na wadudu wengine tu? Ni kweli kuwa bado binadam anakufa. Sayansi ndo bado inaanza kufanya mambo yake. Njia za kisayansi ndo njia za mungu. Shetani (Negative tendency) siku zote kazi yake ni kubeza kile ambacho mwanadamu amefanikiwa kukipata na ndo huyu huyu (shetani) anayetumia nguvu kupinga na kubeza kile kinachofanywa kisayansi.

Mbinu za kisayansi ni mbinu za Kimungu (Mungu si nafsi hai - Bali ni mwelekeo positive uliopo katika nafsi hai). Lengo la hao waitwao mitume ni kuleta maarifa. Maarifa yameshafika katika sayansi. Tukune vichwa vyetu, binadam atakuwa anaishi bila kufa miaka si mingi ijayo!!

Acha tu mungu kuwa nafsi hai, wenzetu wanasema ziko 3 katika mungu mmoja.
 
Ndio maana kuna watu wanaamini kwamba MUNGU HAJAMUUMBA MWANADAMU bali MWANADAMU NDIO AMEMUUMBA MUNGU kutokana na hofu ya kuelezea baadhi ya mambo ambayo yapo nje ya uwezo wake (yanaweza kuwa kuhusu mwanadamu mwenyewe au mazingira yanayomzunguuka)
Exactly huo ndo ukweli wenyewe ila busara kubwa inahitajika katika kuelezea hili otherwise unaweza kuchezea kichapo kutoka kwa wenye Mungu wao..yaaani mtu ndo amuumbe Mungu!!!!weeeeee watakuua BUT THATS THE REALITY!!!MTU NDIO AMEMUUMBA MUNGU VILE ANAVYOTAKA AWE NA KUMPA SIFA KEMKEM SIFA YAKE KUBWA IKIWA "YEYE NI MUWEZA WA YOTE".SIFA ZINGINE WEWE UNAZIJUA KAMA HUJUI NTAKUAMBIA BAADAE KAMA UKITAKA!!!
 
Exactly huo ndo ukweli wenyewe ila busara kubwa inahitajika katika kuelezea hili otherwise unaweza kuchezea kichapo kutoka kwa wenye Mungu wao..yaaani mtu ndo amuumbe Mungu!!!!weeeeee watakuua BUT THATS THE REALITY!!!MTU NDIO AMEMUUMBA MUNGU VILE ANAVYOTAKA AWE NA KUMPA SIFA KEMKEM SIFA YAKE KUBWA IKIWA "YEYE NI MUWEZA WA YOTE".SIFA ZINGINE WEWE UNAZIJUA KAMA HUJUI NTAKUAMBIA BAADAE KAMA UKITAKA!!!

Sie tulioletewa dini na wazungu tunajifanya tunaijua kuliko hao wazungu ambao wa-misionari walitoka huko kuja kuleta dini huku Africa
 
Do you have control over the situation? If the answer is yes & you have let it go maana yake umeamua yatokee kwa hiyo umepanga "kutochukua" hatua ili yatokee.

Sheria ni kitu ch akuchekesha sana.Ukiheshimu sheria 100%huna space ya kuzuia hata kitu kinachoumiza jamii.Ndio maana ulaya seria inatumika watu wanashindwa zuia mashoga kupeta kihivyo.Halafu kesho yake wanakuja kuhubiri mwanao ushoga wao.Hakuna cha Padri wala shehe, wala mchungaji anaweza zuia hilo, na kanisa linalokataza linaweza futiwa leseni kwa kutoheshimu haki za binadamu(mashoga).Waarabu wameweza kwa vile kwao kuvunja na kuweka sheria sio kazi.Ndio sheria zao zinachagua wa kuzifuata.Wafalme hawazifuati labda siku wakionja ya ghaddafi.

Mungu naye ili awe mwema na wa haki inabidi aheshimu sheria alizoziweka mwenyewe.
 
Exactly huo ndo ukweli wenyewe ila busara kubwa inahitajika katika kuelezea hili otherwise unaweza kuchezea kichapo kutoka kwa wenye Mungu wao..yaaani mtu ndo amuumbe Mungu!!!!weeeeee watakuua BUT THATS THE REALITY!!!MTU NDIO AMEMUUMBA MUNGU VILE ANAVYOTAKA AWE NA KUMPA SIFA KEMKEM SIFA YAKE KUBWA IKIWA "YEYE NI MUWEZA WA YOTE".SIFA ZINGINE WEWE UNAZIJUA KAMA HUJUI NTAKUAMBIA BAADAE KAMA UKITAKA!!!

Na ili we Mungu lazima awe very complex kiasi cha kutofahamika na mwanadamu,kwani binadamu si mjanja sana.Ifu you can understand him completely basi si Mungu,bali ni kiumbe miwngine mwenye uwezo.Kwa hiyo unapodhani Binadamu ndio wamemuumba you are very wrong and never right.

Kwa taarifa yako katika Christian theology ni Mungu ndiye aliyejitambulisha(Jionesha) kwa wanadamu na si wanadamu walimjenga katika fikra.
 
Na ili we Mungu lazima awe very complex kiasi cha kutofahamika na mwanadamu,kwani binadamu si mjanja sana.Ifu you can understand him completely basi si Mungu,bali ni kiumbe miwngine mwenye uwezo.Kwa hiyo unapodhani Binadamu ndio wamemuumba you are very wrong and never right.

Kwa taarifa yako katika Christian theology ni Mungu ndiye aliyejitambulisha(Jionesha) kwa wanadamu na si wanadamu walimjenga katika fikra.
But still hiyo christian theology ni histiria ile ile ya kwenye biblia ambayo hamuielewi...na pia nafikiri lengo la Mungu kujitambulisha kwa mujibu wa hiyo unayoiita christian theology ni kufahamika kwa watu wake na unaposema lazima awe very complex kiasi cha kutofahamika na mwanadamu naona kama unajichanganya naomba tulia vizuri utafakari tena kwa kina...Mungu sio Muuza sura kwamba ajitokeze kwa lengo la kutambulika then tena awe very complex kutambulika,kama angetaka kutofahamika angekausha tu huko huko alikokua ili aendelee kua complex.
 
Sie tulioletewa dini na wazungu tunajifanya tunaijua kuliko hao wazungu ambao wa-misionari walitoka huko kuja kuleta dini huku Africa
Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!
 
Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!

ahahahahaaaaaaaaaaaa_ndio ukweli wenyewe..ingawa ni mchungu kumeza..eti 'kwa neema'...mmmmmhhhhh_anyway..afrika tunataka kina Mao wengi ili tuweze kuendelea kutoka hapa tunapojizungusha kama pia,....r.i.p mao tse tung
 
Nicholas umeimaliza kabisa evolution.But unafaham kuwa wanasayansi wanadai evolution is no longe a theory is fact?Wanadai imethibitishwa binadamu hajaumbwa tena kwa ushahidi wa DNA, Kiranga ataweza nisaidia hili kwa ufafanuzi.Wanadai,Man is a result of 4 billion years of evolution,intelligent man is about 40,000 years old and as a civillized creature is barely 4,000(approximately)years old.Wanasema kipindi hiki cha miaka 4000 ndipo story za Mungu zilipoanza kusikika!Sasa hawa jamaa wanapodai ni fact wanamaanisha nini,na kama mabaki ya safina yamepatikana inaonekana evolution sio fact any more!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom