Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!

Na huo ndio ukweli kwani dini wao wameichukulia kama utamaduni flani wakati anaoa au wakati anazikwa lakini asilimia kubwa wapo wapo na wala sio wanaichukulia kivile kama sie kiasi tunabishania dini mpaka misuli ya shingo inajitokeza. Mfano mzuri, huku kwetu kila kitu hata vile ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu utasikia mungu hakupenda au nguvu ya shetani. Magonjwa hayaishi tunaugua na tunakufa kwa wingi huku tukiwa na imani kubwa juu ya mungu wetu lakini wenzetu pamoja na kuruhusu ushoga sehemu za kuabudu lakini bado idadi ya vifo vitokanavyo na magonjwa na vichache, sasa kwanini sie inatokea hivi wakati tunajitahidi kumshirikisha mungu katika kila tatizo letu
 
Na huo ndio ukweli kwani dini wao wameichukulia kama utamaduni flani wakati anaoa au wakati anazikwa lakini asilimia kubwa wapo wapo na wala sio wanaichukulia kivile kama sie kiasi tunabishania dini mpaka misuli ya shingo inajitokeza. Mfano mzuri, huku kwetu kila kitu hata vile ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu utasikia mungu hakupenda au nguvu ya shetani. Magonjwa hayaishi tunaugua na tunakufa kwa wingi huku tukiwa na imani kubwa juu ya mungu wetu lakini wenzetu pamoja na kuruhusu ushoga sehemu za kuabudu lakini bado idadi ya vifo vitokanavyo na magonjwa na vichache, sasa kwanini sie inatokea hivi wakati tunajitahidi kumshirikisha mungu katika kila tatizo letu
Unahusishaje uzembe wa kufikiri na dini?
 
Unahusishaje uzembe wa kufikiri na dini?

Kwa uzoefu wa watu waliowengi huku uraiani, mtu ameshindwa kufuata kanuni na taratibu mbalimbali na kupelekea kupatwa na matatizo anasingizia shetani huku akijipa moyo kwamba mungu hajampangia kufanikiwa katika kipindi hicho tatizo limetokea wakati si kweli na ndio maana nika-link wenzetu na sie.
 
Nakuelewa sana ndugu ndugu yangu Nyani Ngabu, wewe huwa uko postive sana. Hata hivyo kaa chonjo, nimesikia Bunsen Burner inakuja kuonana na wewe huko! Sijui mtakubaliana nini.
 
Kwa uzoefu wa watu waliowengi huku uraiani, mtu ameshindwa kufuata kanuni na taratibu mbalimbali na kupelekea kupatwa na matatizo anasingizia shetani huku akijipa moyo kwamba mungu hajampangia kufanikiwa katika kipindi hicho tatizo limetokea wakati si kweli na ndio maana nika-link wenzetu na sie.

Hilo ndo jibu halisi usijiumize kusingizia dini!
 
If the human brain were so simple that we could understand it, we
would be so simple that we couldn't. - Emerson M. Pugh
 
Sitaki kuamini kuwa na wale wanaojisaidia pembeni wakati wanaliona tundu la choo lipo, kuwa nao wametumia 10% ya uwezo wao kufikiri

sometimes huwa inabidi nicheke kama appreciation kwa mtu anayeongea ukweli, kitu acha akili kubwa huku akikiwakilisha so sarcastically....big up
 
Na huo ndio ukweli kwani dini wao wameichukulia kama utamaduni flani wakati anaoa au wakati anazikwa lakini asilimia kubwa wapo wapo na wala sio wanaichukulia kivile kama sie kiasi tunabishania dini mpaka misuli ya shingo inajitokeza. Mfano mzuri, huku kwetu kila kitu hata vile ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu utasikia mungu hakupenda au nguvu ya shetani. Magonjwa hayaishi tunaugua na tunakufa kwa wingi huku tukiwa na imani kubwa juu ya mungu wetu lakini wenzetu pamoja na kuruhusu ushoga sehemu za kuabudu lakini bado idadi ya vifo vitokanavyo na magonjwa na vichache, sasa kwanini sie inatokea hivi wakati tunajitahidi kumshirikisha mungu katika kila tatizo letu
Pia uje kuna
-wanaokufa kwa ujinga,
-kuna wanaokufa kwa mahati mbaya.
-kuna wanaokufa kwa kuwawa na wengine.
-Biblia pia inasema yale Mungu wake anasimamia ...watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..
-Pia uje suala la Kufuru lipo ila si watu kulitumia kama kinga baada ya kuupindisha ukweli na kutaka mnyamazisha mwingine.Ni kama makosa mengine ya udhalilishaji katika sheria za kidunia.Tofauti kwamba anayedhalilishwa hapa ni Mungu, ama amoja kwa moja au hata amri zake.
- hata huko ulaya kuna watu wengi tuu wana iamni na familia zao zina vfo kidogo sana vitokanavyo na magonjwa yajayo kwa hali ya hela na ya kushtukiza, na hawafi kizembe kama wauta sigara, walevi waliokubuhu, magonjwa ya ukimwi, etc
Pia ujue kumweka shetani aktik kila kosa kuna makosa pia watu wanafanya wao ila kwa kutojua wanamtaja shetani.Mara nyingin setai anaweza kuwa mwezeshaji, na mara zote ni mshitaki.
 
Pia uje kuna
-wanaokufa kwa ujinga,
-kuna wanaokufa kwa mahati mbaya.
-kuna wanaokufa kwa kuwawa na wengine.
-Biblia pia inasema yale Mungu wake anasimamia ...watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa..
-Pia uje suala la Kufuru lipo ila si watu kulitumia kama kinga baada ya kuupindisha ukweli na kutaka mnyamazisha mwingine.Ni kama makosa mengine ya udhalilishaji katika sheria za kidunia.Tofauti kwamba anayedhalilishwa hapa ni Mungu, ama amoja kwa moja au hata amri zake.
- hata huko ulaya kuna watu wengi tuu wana iamni na familia zao zina vfo kidogo sana vitokanavyo na magonjwa yajayo kwa hali ya hela na ya kushtukiza, na hawafi kizembe kama wauta sigara, walevi waliokubuhu, magonjwa ya ukimwi, etc
Pia ujue kumweka shetani aktik kila kosa kuna makosa pia watu wanafanya wao ila kwa kutojua wanamtaja shetani.Mara nyingin setai anaweza kuwa mwezeshaji, na mara zote ni mshitaki.

Nimekupata mkuu
 
Soma kitabu THE VOICE OF KNOWLEDGE by don Miguel Ruiz unaweza kujua kwanini tunatumia tu 10%

Wengine hapa, hatuna access ya kupata na kusoma kitabu hicho ebu mkuu tupia mawili matatu ni kwanini binadamu anatumia 10% tu ya uwezo wake kufikiri.
 
Ndo maana Yesu alisema yeye ni Mungu....Then mtu anakurupuka kusema haiwezekani Yesu akawa Mungu...hyo inayoitwa Mungu unaielewa vizuri???Tatizo tunaogopa kudadisi nadharia ya Uungu kwa sababu dini zetu nyingi zinasema ni kufuru...check kwenye google verse za Tao Te Ching by Lao Tzu.
Nazielewa sana hizo verse zina ukweli mkubwa ndani yake

Sent from myself
 
psychologist wanasema hivi kile ukijuacho umetumia only 10% na hii ni kwasababu ukiweza kuiexploit yote this world will turn up to a disaster place for living imagine exploitation of what you have is only 10% and yet so much destruction in this world what if you exploit half of it?
Tuangalie katika positive way hii dunia ingekuwa zaidi ya hapa kimaendeleo

Sent from myself
 
Ukitaka kujua hatutumii uwezo wetu kikamilifu muangalie yule mchizi Nik Wallenda aliyevuka Niagara Falls akitembea juu ya kamba.

Mungu anatumika tu kueleza yale ambayo hatujayaelewa.


We are more than that we can think of ourselves

Sent from myself
 
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa asilimia 10 tu!Yaani pamoja na vituko vyote hatujaweza hata kutumia asilimia 50!Kumbe inawezekana ikawa sababu ya upofu wetu wa kujijua na kujua kuhusu nguvu zinazotuzunguka kama Mungu n.k,au ndo maana tunaamini katika hizo nguvu,yaani huenda hazipo na tunashindwa kujua hazipo kwa sababu hatufikiri vyema!
he he! bado sijaelewa kitu hapo
asilimia 10% ndo inayotumika kama ni asilimia 10% ndo inatumika/imetumika wamegunduaje kuwa mwanadamu anatumia 10 tu kwenye 100 kama hawajazijua hizo 90..? ama ni nadharia tu..?
 
kama unaijua bible vizuri hiyo Yohana 1:1 haikusemwa na yesu kristo wala hazikunasibishwa naye na mtunzi wa injili kulingana na Yohana.hivyo mistari hiyo si hoja kuonyesha uungu wa Yesu,hasa unapozingatia shaka walizonazo wanazuoni wakristo kuhusu Injili ya nne.Wanazuoni wa Biblia waliotunga THE FIVE GOSPELS( Injili Tano ) wamesema " Sura mbili zilizochorwa na Yohana na waandishi wa Injili tatu nyingine SYNOPTIC GOSPELS, yaan injili ya Mathayo, Marko na Luka) haziwez kuwa zote kwa pamoja ni sahihi kihistoria" MANENO YALIONASIBISHWA NA YESU KATIKA INJILI YA NNE NI KAZI YA MWINJILISTI KWA SEHEMU KUBWA.
Pia neno la kiyunan kwa Mungu liilotumika ktk ibara naye "neno alikuwa kwa mungu' ni aina ya wazi hotheos inayomaanisha "Mungu". Hata hivyo ktk ibara ya pili "naye neno alikuwa mungu" neno la kiyunan lililotumika si aina hiyo ya dhahiri tontheos, linalomaanisha "mungu" kwa hiyo Yohana1:1 kwa usawa zaid inatakiwa itafsriwe. Hapo mwanzo kulikuwa na Neno naye Neno alikuawa kwa Mungu .Hivyo ikiwa neno alikuwa kwa Mungu kwa maana yake halisi itamanisha ipo miungu miwili.Hata hivyo ktk lugha ya bible neno "mungu" linatumika kuashiria mamlaka na nguvu.Mfano, Paulo alimuita shetani "mungu" ktk 2 wakorintho 4:4 "Hao hawaamini sababu yule mungu wa ulimwengu amezitia giza akili zao...."Musa pia ameitwa mungu ktk kutoka 7:1 "Mungu akamuambia Musa tazama mimi nakufanya kama mungu kwa farao, nae ndugu yako aaron atakuwa nabii wako" tuwasiliane ndugu yangu pengine mimi siijui vizuri biblia basi nifafanulie vizuri ili niijue ipi haki ipi batili. Let us discus bcause DISCUSSION IS AN EXCHANGE OF INTELLIGENCE AND ARGUMENT IS AN EXCHANGE OF IGNORANCE! achu2488@yahoo.com
Mkuu umejitaid sana kuelezea hii sehemu lakini ukiona bado kuna upinzani wa ulichoandika na fungu ulilochambua jua ushahidi sio huo tu wa kumthibitisha Mungu.

Ngoja tujumuike kwenye hii
Mtu wa tatu kutoka kizazi cha adam ananeno haya yafuatayo(Enock)
Yuda 1:14-15 " Na Henoko, mtu wa saba baada ya adamu,alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema Angalia, Bwana alikuja na watakatifu wake, maelfu maelfu, 15 ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibisha wote wasiomcha Mungu,........

Ayubu 19:25-26
Lakini mimi najua ya kuwa mtetezi wangu yu hai, na ya kuwa hatimae atasimama juu ya nchi.
26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, lakini pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;.

Zaburi 96:11-13
11. Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie, Bahari na ivume na vyote viijazavyo, 12. Mashamba nacyashangilie, na vyote vilivyomo, Ndipo miti yote ya mwituni iimbe kwa furaha; 13. Mbele za BWANA, kwa maana anakuja, Kwa maana anakuja aihukumu nchi Atauhukumu ulimwengu kwa haki, Na mataifa kwa uaminifu wake.

Isaya 25:9
Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliemngoja atusaidie; Huyu ndie Bwana tuliemngoja, Na tushangilie na kufurahi wokovu wake.

Juu ni mafungu ya agano la kale. Manabii na mitume wakiwa katika subira ya mkombozi na Mungu wa mbinguni, je huyu anaesubiriwa na mitume na manabii ni Kristo????????

Agano jipya linasemaje???

Yon 14:2-3
Msifadhaike miyoyoni mwenu mnamwamini Mungu niaminini na mimk. 2. Nyumbani mwa baba yangj mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. 3. Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu,; ili mahali nilipo mimi nanyi muwepo.

Math. 25:31-32
Hapo atakapokuja mwana wa adamu katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu wake; 32. Na mataifa watakusanyika mbele zake ; naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi.

Ufunuo 1:7
Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na kabila zote za Dunia wataomboleza kwaajili yake. Naam. Amina.



Tujifunze taratibu tupate maarifa zaidi, dunia tunapita tuwe na staha katika kujifunza.
 
Tutafute namna ya kutumia uwezo wetu wote ili utusaidie!
Kwenye upande huo kama kuna ukweli na sio sukari imeongezwa mkuu kwanini yeye aligundua hivyo hasiweze kuenhenence iq angalau 6% au ndio hawa freemind wanataka tufikilie kumkosa muumba zaidi ya hapa?
 
Toa hiyo KUFURU ndo tunaweza kuzungumza hii mada vizuri sababu sio kitu rahisi rahisi tu kama unavyofikiria ndugu yangu Eiyer....Mtu ni kitu kikubwa sana ambacho mtu mwenyewe hajajijua na ukubwa wake upo karibu saaaaana na ile iitwayo Mungu...kwa ufahamu wangu,mtu yeyote akisema yeye ni mungu sintokataa ila ntamuuliza kama concept "MUNGU" anaielewaje???kutokana na jibu lake ndo ninaweza kusema chochote juu ya madai yake ya kwamba "yeye ni mungu"Kiukweli mungu hayupo mbaali na mtu tatizo mtu ndio hajui hilo kama ambavyo hajui kutumia uwezo wake mkubwa wa ki-ungu...na kuutumia ni mbali,ni kwamba hajui tu kama anao uwezo huo...na amini usiamini dini ndio inayompelekea mtu kuona kwamba kuna distance kubwa na tofauti kubwa kati yake na mungu na hapo ndipo ilipozaliwa kitu inaitwa KUFURU!!!
Karibu sana tuendelee kutafakari hili ndugu yangu Eiyer.....!!!
Hujanielewesha wewe unaamini mungu yupi unaemtolea maelezo kama hayo ni mungu mwezi yule?
 
Back
Top Bottom