Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Na lengo la kuleta dini kutawala na si kwamba walikua wazuri sana wa kutaka sisi waafrika tukale bata huko wakoita peponi..thats why wachina leo wako mbali kiuchumi sababu ya misingi iliyowekwa na Mao siku hizo hakutaka kusikia watu wake wanaambiwa habari ya "kwa neema"...yeye aliamini mtu atapata gud tym kwa juhudi zake mwenyewe!!!!alichinja sana wamisionari...!!!
Na huo ndio ukweli kwani dini wao wameichukulia kama utamaduni flani wakati anaoa au wakati anazikwa lakini asilimia kubwa wapo wapo na wala sio wanaichukulia kivile kama sie kiasi tunabishania dini mpaka misuli ya shingo inajitokeza. Mfano mzuri, huku kwetu kila kitu hata vile ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu utasikia mungu hakupenda au nguvu ya shetani. Magonjwa hayaishi tunaugua na tunakufa kwa wingi huku tukiwa na imani kubwa juu ya mungu wetu lakini wenzetu pamoja na kuruhusu ushoga sehemu za kuabudu lakini bado idadi ya vifo vitokanavyo na magonjwa na vichache, sasa kwanini sie inatokea hivi wakati tunajitahidi kumshirikisha mungu katika kila tatizo letu