Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
salaam wana JF,
Imekuwa ni mda mrefu sana tangu nilipotoka sasa zidi ya miezi 6 vile, nilikuwa nimetoka kwenda nchi za mbali kwa masuala ya hapa na pale.
Sio siri nimekuwa nikiwakumbuka sana, ila kwa sababu ya kukosa mda na majukumu mengi ya huko nilikokuwa sikuweza kuonekana.
Natumaini mtanipokea.
Natanguliza shukrani!
Imekuwa ni mda mrefu sana tangu nilipotoka sasa zidi ya miezi 6 vile, nilikuwa nimetoka kwenda nchi za mbali kwa masuala ya hapa na pale.
Sio siri nimekuwa nikiwakumbuka sana, ila kwa sababu ya kukosa mda na majukumu mengi ya huko nilikokuwa sikuweza kuonekana.
Natumaini mtanipokea.
Natanguliza shukrani!