Nimevaa Suruwale ya Cadet ya rangi ya grey na T-Shirt Nyeupe imeandikwa "Silaha pesa, kisu mzigo"
Hizi T-Shirt ndio fasion siku hizi hata prezidaa wa JF huwa anazivaa sana tu.........yethuu..hizo tshet zimekukutaje na ww?...geuka nyuma yako utaona mtu kavaa kama muitaliano...nimetupia bonge la skafu ya brown!...na shat jeusi...jins mpauko!
Duuu Mtambuzi kunywa repsonsibly... Nani atakuwa anatuletea HADITHI ZA KESI ZENYE UTATA IJUMAA?
Cantalisiaaaa kama unamtaka baba kamrudishe home.
hapa sio mahala pake............nisubiri nyumbani tutaongea.....................
Huyu mzee hafai kaaga anaenda kumsindikiza rafiki yake shamba huko bagamoyo kumbe alaponda raha hapo brajec namchua maza na familia yote tunamuibukia mda c mrefu,atajibeba leo!
mi staki, kesho ticha atanitoa darasani.
shem, huyu baba atasababisha niolewe kabla ya muda. Lol.
Nimevaa Suruwale ya Cadet ya rangi ya grey na T-Shirt Nyeupe imeandikwa "Silaha pesa, kisu mzigo"
Sisy subiri mda mchache hii story itabadilika tupo na mama na madogo hapa ndio tunakaribia mcity tunamuibukia huko huko mpaka kieleweke leo,huyu mzee kazidi!