Mwana JF yeyote aliyeko hapa Brajec Pub Mwenge......................!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Nimekaa hapa Counter napata Kinywaji aina ya Jack Daniel na Barafu nyiiiingi..............
Karibuni sana.......................LOL
 
Naogopa nisije kupata Brain Concusion,nipo Bar ya karibu.
Nilikupita hapo.......... Si umevaa T-Shirt na Jinzi....................LOL
Jack Daniel ikipozwa na barafu haisababishi Brain Concusion.............................
 
Umeanzaje.
Nilianza na Valuu.........kama Starter na sasa nasongesha na Jack Daniel...................... Karibu sana mama Mkubwa.......... Muda mfupi ujao kuna kimwana atani-join................. just one night stand
for drinks ONLY
 
Mtambuzi ukimaliza hapo mwambie mtu akulete ETINA BAR iko karibu tu na hapo...near esap house!...hapo brajec wana posheni ya mbuzi ya ukweli!...
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi ukimaliza hapo mwambie mtu akulete ETINA BAR iko karibu tu na hapo...near esap house!...hapo brajec wana posheni ya mbuzi ya ukweli!...
Kuna kimwana ananichomesha mahindi hapa kwa kumsubiri...........Ngoja akifika nakuja huko kusongesha
 
Nilianza na Valuu.........kama Starter na sasa nasongesha na Jack Daniel...................... Karibu sana mama Mkubwa.......... Muda mfupi ujao kuna kimwana atani-join................. just one night stand
for drinks ONLY

Yasikukute ya malima tu.
 
Yasikukute ya malima tu.
Niko fiti mama...............hebu ngoja niimbe kidogo haka kawimbo.........
"Nitainua macho yangu, nitazame milima..............Msaada wangu utatoka wapi?...............Msaada wangu utatoka kwa Bwana................."

 
Back
Top Bottom