Nimekaa hapa Counter napata Kinywaji aina ya Jack Daniel na Barafu nyiiiingi..............
Karibuni sana.......................LOL
Nilianza na Valuu.........kama Starter na sasa nasongesha na Jack Daniel...................... Karibu sana mama Mkubwa.......... Muda mfupi ujao kuna kimwana atani-join................. just one night standUmeanzaje.
Nimeshasema ninaipoza kwa barafu nyiiingi......................!
Nimewatelekeza Beach na mama yao..................
Kuna kimwana ananichomesha mahindi hapa kwa kumsubiri...........Ngoja akifika nakuja huko kusongesha
Nilianza na Valuu.........kama Starter na sasa nasongesha na Jack Daniel...................... Karibu sana mama Mkubwa.......... Muda mfupi ujao kuna kimwana atani-join................. just one night stand
for drinks ONLY
Niko fiti mama...............hebu ngoja niimbe kidogo haka kawimbo.........Yasikukute ya malima tu.