King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,821
- 24,823
badala ya kufukuza mbu unafukuza mwizi! is that ur intended use?
<br />
<br />Nafukuza mwizi
<br />
<br />Nafukuza mwizi
<br />badala ya kufukuza mbu unafukuza malaria! is that ur inteded use?<br />
<br /><br />
<br />
Bado haujaikomboa Libya tu? au bunduki la maji hilo?badala ya kufukuza mbu unafukuza malaria! is that ur inteded use?
<br />
<br />
niko faragha....busy......
Nipo jf najibu sredi ya buji.
<br />Natoka msasani club Beach na timu yangu nzima kama ilivyo niko maeneo ya kwa warioba naelekea home now!
<br />Niko chakonichako,hapa dom,napata kuku choma
<br />Niko home hapa nacheza na watoto <br />
Bujibuji karibu sana hapa upate moja moto moja baridi
Wanasemaga umbeya ni hobby, tujulishe basi uko nani?
<br />Nakaribia home natoka kupoteza mawazo. Niko Mufindi Iringaaaaaa!