Duuh ngoja nisiseme zaidiKumwekea sumu mwamba
Ni hatari vijana wadogo tunakwishaaa.Mbona siku hizi watu wanafariki wadogo sana!
Ndani ya miezi miwili hii, nimeshakutana na taarifa za vifo si pungufu ya 10 kwa watu ambao ni 45 kurudi chini...
Umenifanya nimemkumbuka ndugu Sambala Ole Comred, sijui atakuwa yupo wapi kwa sasa.Poleni wafiwa, tulipamban sana kwa hoja enzi za TANURU LA FIKRA facebook,
Huyo ndiye muuaji mwenyeweHizi simblisi Ambazo hata hazijatahiriwa huwa sijibishani nazo, Mimi sio level yako kabisa!!
Wewe uliekeketwa kwenu huko mara basi unajiona una akili sanaHizi simblisi Ambazo hata hazijatahiriwa huwa sijibishani nazo, Mimi sio level yako kabisa!!