Katika siku ya wafanyakazi May 1995, raisi mstaafu na mwenyekiti mstaafu wa CCM Mwl. Julius K. Nyerere ndiyo alikuwa mgeni rasmi. Alitoa hotuba ndefu kidogo iliyo jaa maono na muongozo.
Lakini mimi kuna sehemu moja tu ya hiyo hotuba ndiyo ilinikuna kupita zote. Mwl. alisema kwamba wakati yeye anaingia madarakani na wenzake walikua hawana model ya kufuata. Kila kitu kili takiwa kujengwa kuanzia juu kwenda chini yani "trial & era".
Akaendelea kusema kwamba ana kubali serikali yake ilikua na mabaya yake lakini pia ilikua na mazuri yake. Akasema serikali ya Mwinyi ilipaswa kuchukua yale mazuri na kuya acha yale mabaya. Hali kadhalika aka sema nao serikali ya Mkapa ina takiwa kuchukua yale mazuri ya kipindi cha Mwinyi na kuya acha mabaya.
Haya maneno yali nigusa sana kwa sababu ni maneno rahisi lakini magumu kuelewa. Leo hii ina shangaza serikali zetu inafanya kinyume na kuchukua mabaya yote ya serikali zilizo pita na kuya acha mazuri. Ina sikitisha kwamba baada ya miaka hamsini ya uhuru tuna rudi nyuma badala ya kusonga mbele.
Je ni mazuri yapi ya serikali za Nyerere, Mwinyi na Mkapa zili takiwa kuendelezwa?
Mazuri ya Mwl ni siasa ya ujamaa na kujitegemea. It is a threory and some us have dedicated our lives into taking from where Mwl ended and bring into existence what he dreampt to be the future of our country. I will make all it takes to make sure na muenzi baba wa taifa kwa vitendo and have said this tangu naanza kupata akili. Sihitaji kulaumu wengine but I want to show people it is possible and here I am in the very right track to do what I intended. I dont say will come with all answers but will really bring into existence the system which would later on be updated by the coming generations.
Last edited by a moderator: