Hahaaaaa......ili mtujue nyie mliogoma....thubutuuuuuuu.....ni ya mlimani city.
wapi huko?
Ughaibuni.
Ningelikuwa karibu ningelikutibu tumia limau kwenye maji ya uvuguvugu itakusaidia usitie sukari kamua limau moja kwenye maji ya uvuguvugu na pia kula kipande cha kitunguu samu kimoja kimeze itakusaidia pia pole sana bibie Madame B Umepata mafua sababu ya vumbi la Dares-Salaam? huku niliko baridi inaanza natami uwepo uwe blanketi wangu.
Ningelikuwa karibu ningelikutibu tumia limau kwenye maji ya uvuguvugu itakusaidia usitie sukari kamua limau moja kwenye maji ya uvuguvugu na pia kula kipande cha kitunguu samu kimoja kimeze itakusaidia pia pole sana bibie Madame B Umepata mafua sababu ya vumbi la Dares-Salaam? huku niliko baridi inaanza natami uwepo uwe blanketi wangu.
Mkuu ruttashobolwa Hunielewi kivipi mkuu?Sikuelewi mzizimkavu!
Asante bibie Madame B i miss you my baby.................:A S-rose:Na ulitakalo liwe.
Si unajua tena pilikapilika wangu?
Usihofu utanikuta tu Kipenzi chako.
Japo Uko mbali nami muda mrefu.
Miss yaa!!!
Nakuona unaanza kujigonga kwa wa Ubani wangu ruttashobolwa,nina stress sana.
Naomba umalize muda wako wakukaa na taji kwa amani na unikabidhi hilo taji kwa Amani.
Na ukae mbali nae.
Sihitaji tugawane majengo ya serikali yetu.
Sikuelewi mzizimkavu!
Mie tena? akhaaaa......niliyenaye kaujaza moyo wangu.
Hahaaaaa......ili mtujue nyie mliogoma....thubutuuuuuuu.....ni ya mlimani city.