Mwaliko toka kwa miss chitchat

Hahaaaaa......ili mtujue nyie mliogoma....thubutuuuuuuu.....ni ya mlimani city.

Nakuona unaanza kujigonga kwa wa Ubani wangu ruttashobolwa,nina stress sana.
Naomba umalize muda wako wa kukaa na taji kwa amani na unikabidhi hilo taji kwa Amani.
Na ukae mbali nae.
Sihitaji tugawane majengo ya serikali yetu.
 
Last edited by a moderator:
Ningelikuwa karibu ningelikutibu tumia limau kwenye maji ya uvuguvugu itakusaidia usitie sukari kamua limau moja kwenye maji ya uvuguvugu na pia kula kipande cha kitunguu samu kimoja kimeze itakusaidia pia pole sana bibie Madame B Umepata mafua sababu ya vumbi la Dares-Salaam? huku niliko baridi inaanza natami uwepo uwe blanketi wangu.

Na ulitakalo liwe.
Si unajua tena pilikapilika wangu?
Usihofu utanikuta tu Kipenzi chako.
Japo Uko mbali nami muda mrefu.
Miss yaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Sikuelewi mzizimkavu!

Ningelikuwa karibu ningelikutibu tumia limau kwenye maji ya uvuguvugu itakusaidia usitie sukari kamua limau moja kwenye maji ya uvuguvugu na pia kula kipande cha kitunguu samu kimoja kimeze itakusaidia pia pole sana bibie Madame B Umepata mafua sababu ya vumbi la Dares-Salaam? huku niliko baridi inaanza natami uwepo uwe blanketi wangu.
 
Last edited by a moderator:
Nakuona unaanza kujigonga kwa wa Ubani wangu ruttashobolwa,nina stress sana.
Naomba umalize muda wako wakukaa na taji kwa amani na unikabidhi hilo taji kwa Amani.
Na ukae mbali nae.
Sihitaji tugawane majengo ya serikali yetu.


Mie tena? akhaaaa......niliyenaye kaujaza moyo wangu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom