Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
- Thread starter
- #41
Teh niko kwenye basi kuna jamaa alisimamisha akauliza kuna seat teh konda akamfokea eti "ni basi gani linalotembea bila seat, limekuwa lori?' jamaa kimya. Btw SIJI kwenye kasherehe kako kwanza kadogo
huyu konda anajifanya anajua sana Kiswahili!