Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
I will always say, JK is a corruption culprit number ONE, he was involved in all corruption scandals, and he was very involved and "innovetive" in the death of Ballali; this is a culprit who have to be condemned, and for the betrayal of the the majority of the poor uneducated, destitutes of this motherland, and a service agent for the thieves, a biggest protector of his mentors, the two former presidents!
 
NN, are you trying to be diplomatic? It should read: The President has lost control of the country!

He never had control of anything to begin with. Now, couple this with his abysmal performance at the IMF discussion panel last week, is there anyone left out there, with a sophisticated erudition such as yours truly's here, who still has hopes with this guy? I sure hope not but I won't be surprised if there are some.
 
mkjj bravo!
Unamaanisha unaposema kuwa mitambo ya Dowans ni lazima inunuliwe na Tanesco????Tell me ur joking...
 
Hongera Mkjj hii ndio nchi yetu inayodidimia wakati tunaiangalia tu.Toeni ushahidi zaidi ili yaliyofunikwa na kamati ya Mwakyembe yafichuke na ikiwezekana na Serikali yote itokomee tuchague viongozi wazuri.
 
Mwanakijiji, nina wasiwasi kuwa Mafisadi watazinunua nakala zote za mwanahalisi kesho kutwa maana umeshawatonya tayari. Nadhani inabidi kufanya kazi ya ziada ili Mwanahalisi lifike mtaani keshokutwa si unajua Mafisadi wanatununua kwa pesa zetu wenyewe? Anyaway, nasubiria hilo Mwanahalisi.
 
He never had control of anything to begin with. Now, couple this with his abysmal performance at the IMF discussion panel last week, is there anyone left out there, with a sophisticated erudition such as yours truly's here, who still has hopes with this guy? I sure hope not but I won't be surprised if there are some.

Ngabu everybody knows he is a "dickhead", but there are two guys behind him, the two former presidents who controls him, note that; in this country "presidents" survive by a "rumour", and so far the rumours are not enough to make him feel the heat. The former presidents rely on him and JK relys on them; only when one day the boys and gals will start to rampage the streets then they will know where they belong to. They will never be welcome by the west, I am sure they will all fly to china. These days are nearing; see how people are poor and angry; the anger has exceeded the limits!
 
Mwanakijiji, nina wasiwasi kuwa Mafisadi watazinunua nakala zote za mwanahalisi kesho kutwa maana umeshawatonya tayari. Nadhani inabidi kufanya kazi ya ziada ili Mwanahalisi lifike mtaani keshokutwa si unajua Mafisadi wanatununua kwa pesa zetu wenyewe? Anyaway, nasubiria hilo Mwanahalisi.

Ni vema Mwanahalisi wawe kwenye Mtandao pia ili wadau wasilikose,ingawa naamini mafisadi hawawezi kununua nakala zote kwani Mwanahalisi ni la kila wiki hivyo wakinunua siku ya kwanza itawapa Halihalisi Publishers nafasi ya kuongeza nakala zingine kabla ya Jumatano nyingine.Hongera Mwanahalisi,Mwanakijiji na Tanzania Daima kwa kuendelea kufichua ya Dowans.
 
In America and other countries in the world, things are different. When Presidents comes in office, they start greying, and faces wrinkled. In Africa, presidents gain weight, and become unwrinkled; we are giving too much luxuary in these offices; they have nothing to do but to steal. I have been seeing this from AHM, BWM to JK. This is shame!
 
Wadau mimi nina mengi saana ya kuchangia ila naisubiri hiyo mwana halisi, lkn kwa kuwa haijatoka niseme tu kuwa Serikali yetu ya Tz imejaa mafisadi,wanajuana na namna ya kusaidiana. Cjui ni kizazi kipi kitakuwa hakipokei wala kutoa rushwa!! Nina ombi mimi nipo nje yanchi wakubwa na hiyo mwana halisi cjui nitaipate!! Angepatikana mdau wa kunibrief at least ningeshukuru saana. Maana hata kwenye ile website ya kicheko mwanahalisi haipo.
 
I will always say, JK is a corruption culprit number ONE, he was involved in all corruption scandals, and he was very involved and "innovetive" in the death of Ballali; this is a culprit who have to be condemned, and for the betrayal of the the majority of the poor uneducated, destitutes of this motherland, and a service agent for the thieves, a biggest protector of his mentors, the two former presidents!

Ebwana eeh! taratibu hujui hilo ni chaguo la mungu.Dogo ni msanii toka longi tuli waambia rangi ya kijani si rangi(CCM),ndio maana hana ubavu wakumfikisha Mkapa kunako court.
Ngoja nitafute miwani yangu ya kuonea mbali.Tanzania ni nchi ya amani kama tunavyoamini wadanganyika kwa kuwa tumekubali zile fomula mbili.
Ukitaka amani kubali kudhulumiwa,ukitaka utulivu kubali kuonewa.Je tuendelee kukinga kichwa kina JK na wenzake waendelea kutupiga makwenzi na madole kunako nyuma? ili ule mwimbo wa utulivu na amani uendelee kuimbwa kwa sauti nyororo za mamwali(viongozi).
tusubiri tuone.......
 
Wasiwas wangu ni jinsi gani tu ya kumtoa huyu tabasamu kutoka kwenye uraisi. All I know he's going to give himself the second term hata kama itabidi kuwashindilia watanzania risasi. Network yake ya mafisadi ni pana sana, usishangae kuona watu wenye sifa za uchafuzi wakiteuliwa kwenye madaraka ya sehemu nyeti (wote tunawafahamu) hajathubutu kumfukuza kazi hata fisadi mmoja licha ya evidence zote. Akizidiwa anajadiliana nao wa-resign ili wabaki na opportunity ya influence kwenye system. Kama MM ulivyosema, liwe liwalo, mseme msemalo, mitambo ya Dowans itanunuliwa na serikali na maisha yataendelea. Vivyo hivyo tabasamu atachukua term ya pili na maisha yataendelea. Lakini tuletee tu hizo details za Dowans tuangalie, zitupe hasira na eventually tushinwe kuvumilia tuingie mitaani kudai haki zetu kama ilivyo kwa nchi nyingine zenye watu walio macho.
 
Haijalishi habari au ukweli wowote ambao tutaufunua; haijalishi kuwa kampuni ya Dowans iliingia kilaghai (kama tutavyoonesha) ikitumia mtindo wa Richmond (kujisema inahusiana na kampuni kubwa ya kimataifa); haijalishi uchunguzi au kamati yoyote.. mitambo ya Dowans itanunuliwa na serikali na mazungumzo yanaendelea kufanikisha hilo.

Vyovyote vile itakavyokuwa serikali itanunua mitambo ya Dowans inspite and despite of whatever is revealed. Hii ndiyo sababu ya Ngeleja kusema wanataka mjadala huu ufungwe ili Tanesco wafanye maamuzi yao bila kuingiliwa. Kimsingi, Al-Awadi ameshaingia hasara ya kuyaleta kwani ahadi ilikuwa ni mwisho wa muda (ile miaka miwili) serikali itanunua majenereta hayo. This now seems to be in limbo..

Mkuu hii ni kubwa kuliko! lakini kila kitu kinawezekana Tanzania
 
Ahsante sana Mwanakijiji kwa kazi nzuri unayoifanya katika kutetea maslahi ya nchi yetu. Mwenyezi Mungu akuzidishie afya njema na maisha marefu ili uweze kuwaweka hadharani mafisadi siyo tu wa Richmond/dowans bali mafisadi wote wanaoihujumu nchi yetu.

Mapambano yanaendelea.
 
Ahsante sana Mwanakijiji kwa kazi nzuri unayoifanya katika kutetea maslahi ya nchi yetu. Mwenyezi Mungu akuzidishie afya njema na maisha marefu ili uweze kuwaweka hadharani mafisadi siyo tu wa Richmond/dowans bali mafisadi wote wanaoihujumu nchi yetu.

Mapambano yanaendelea.

don't count on that one!
 
In America and other countries in the world, things are different. When Presidents comes in office, they start greying, and faces wrinkled. In Africa, presidents gain weight, and become unwrinkled; we are giving too much luxuary in these offices; they have nothing to do but to steal. I have been seeing this from AHM, BWM to JK. This is shame!

The truth,nothing but the truth.Wakipata urais wananawiri na ndio maana huwa tunasema urahisi..Tatizo ni kwamba mambo mengi tunayajuwa wabongo lakini yamebakia kwenye utani utani na kumbe issue ni serious. Utasikia misemo kama Urahisi badala ya urais, Mdanganyika badala ya Mtanganyika,Miafrika ndivyo ilivyo badala ya waafrika ndivyo walivyo nk...Yani maneno ya kipuuzi ambayo unaridhika kwasababu yanasikika sana na yamekuwa kama kejeli tu na hakuna seriousnes yoyote,no wonder tunabaki sana kwenye porojo...Ni lazima tubadilike na kuwa serious ili kama ni kweli urais unachukuliwa kama urahisi,then tuwafunze next time wajiulize mara mbili mbili wakati wa kutaka kuchukua fomu....Ni wazi kwamba tunadanganywa every single day na viongozi ama wanatumia loopholes kwenye sheria zetu ama wanajitungia sheria za kifisadi,na ndio maana licha ya kwamba nakubali kuwa viongozi wetu wa Afrika wametufikisha mahali pabaya,bado sikubaliani na generalisation kuwa ndivyo hivyo ilivyo kwasababu hata kama kuna madikteta na mafisadi,bado kuna wale ambao wanapingana nao,sisi na waandishi wa habari kuandika mambo ya kuwashusha watanzania ni sawa na kuwaharibu kisaikolojia kwani ukiitwa mbwa kila wakati mwishowe utakubali kuwa wewe ni mbwa na hivyo unaweza usifanye jitihada zozote kwani umeshazoea na ni kama utani hence poor ufanisi, low self esteem and so forth,mambo ambayo yametufikisha hapa tulipo.
 
Kila mtu na shemejiye, kila kampuni na shemejiye na kila mkataba na shemejiye - inanikumbusha wimbo wa "shemeji, shemeji huku mwazima taa" Richmond na Dowans, Dar na Omani na Tanzania na UAE - the trail is as wide and as smooth as the toll plaza en route to San Francisco, USA.

Mitambo ya Dowans isiponunuliwa, ipelekwe wapi ? Pale Ubungo kuna free storage - only one dollar for the first years rent. His Excellency, Al Haj, Commander-in-chief, President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Conquerer of the Comoro Islands - inanikumbusha Uganda 1971 to 1979, kuna lisilowezekana ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom