Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
MKJJ,

You're really, really a patriot of this country. If not,then I do not know the meaning of being patriotic and must go back to school. Hongera kwa kazi ngumu.
 
Gotdamnit!! The president is losing control of the country....

Kwani kashindwa leo? Mbona alishindwa kabla ya kuanza? Umesahau ule mweleka wa Jangwani?

Kumbe Mungu alikuwa upande wetu. Alitupa onyo kwamba tusifanye makosa kuchagua failure lakini hatukusikia. Tunaishia kumlaumu Mungu kwamba ametutupa, wajinga ndio waliwao:rolleyes:
 
Kwani kashindwa leo? Mbona alishindwa kabla ya kuanza? Umesahau ule mweleka wa Jangwani?

Kumbe Mungu alikuwa upande wetu. Alitupa onyo kwamba tusifanye makosa kuchagua failure lakini hatukusikia. Tunaishia kumlaumu Mungu kwamba ametutupa, wajinga ndio waliwao:rolleyes:

Heheheheee....ingekuwa kwa wazungu huyu raisi angekuwa one term president.
 
Tulipozungumza naye kabla hajaitisha kikao kile cha dharura jumapili ile, alikataa kuijua Dowans kabisa hadi tulipomrudia na ushahidi huo hapo juu!
 
Kwa maoni yangu naona mambo bado yanapikwa,rushwa ya mambo haya ni kubwa sana na tutashangazwa sana na mengi...Hivi kweli ni kampuni gani hiyo mara ni ya huyu mara ya yule mara haina mwenyewe...Na sasa inajaribu kupata mwenyewe ambaye aliikana juzi tu.
 
Tulipozungumza naye kabla hajaitisha kikao kile cha dharura jumapili ile, alikataa kuijua Dowans kabisa hadi tulipomrudia na ushahidi huo hapo juu!

Kama mmeongea naye hiyo itakuwa poa sana. Nimepata taabu sana kuamini mawasiliano ya email aliyofanya Al Adawi na Gazeti la Tanzania Daima la jana jumapili (15 Machi 2009). Wasi wasi wangu ni kuwa email anaweza kuandika mtu yeyote na kuwatumia.
 
Mwanakijiji, ndo maana hukutaka kutoa comment zaidi kuhusu Al-Adawi! Basi endelea kutuhabarisha maana naona Dowans itakuwa mwisho wa wanamtandao.
Lakini kuna kajisentensi kamenitisha:
Kikwete mwenyewe ni sehemu ya ujio wa kampuni ya Dowans...!!

Aaah! We always suspected that but didn't have proof kama unayo mwaga tu hapa data tuanze kufuatilia impeachment ya President!
Na hiyo safari yake ya G20 asiende kabisaaaa!
 
Mzee Mwanakijiji,

Nasubiri nisome huo Ufunuo mpya ambao watu wengi hawajausoma ila upo.

Jk is Inside?Give me a break!

what i know he was connected in the connection,but i ain't know if he was well connected.
 
Mambo sasa yanaelekea ukingoni, hongera mwanakijiji kwa kazi nzuri. Naomba niwarudishe nyuma kidogo. hivi ni mambo gani ambayo Mwakyembe na kamati yake alisema hawakuyaanika hadharani, je ni kuhusika kwa mkuu wa kaya JK katika suala dowans?. sasa inabidi JK na mafisadi wenzie wachie madaraka, ndiyo maana huwa anogopa kabisa kuliongelea swala la dowans kwa uwazi. maana vitu vingine anashikia bango. ama kweli tumewashika pabaya.
 
Long live Mwanakijiji hii kweli ni maslahi ya taifa....sijui watachomokaje hawa!!
 
with this trend looking consistent and persistent, i guess the Kikwete administration is gonna spend more time denying and refuting claims than doing 10 per cent of stuff to propel this country ahead.

too many scandals, too little solutions for the set of challenges we are already facing post-independence. someone's gotta take risk and stop this shit. tunawabembeleza sana hawa nyang'au, can't we learn from other countries?

"amani na utulivu" is being exploited by the very guys we enlisted to work for us, paradoxically they seem to be working for a bunch of crooks keen to screw our country up.
 
Sasa kama JK naye anahusika hii ni conflict of what? Wanambana Mwakyembe na upepo wanadai ni ufisadi...Hizi siasa zao wanatuletea wanacheza hawa.
This time no politics.
 
Sasa kama JK naye anahusika hii ni conflict of what? Wanambana Mwakyembe na upepo wanadai ni ufisadi...Hizi siasa zao wanatuletea wanacheza hawa.
This time no politics.

Wanajaribu kutumia mbinu zile zile za uchaguzi ndani ya CCM ambazo ndani ya JF mpumba na mchele zitachambuli vizuri tu,
 
Ripoti ya mwakyembe ilisema kuna mambo yamefichwa kwa usalama wa nchi...kama MMKJ una uwezo tutobolee kilichowashinda wakubwa...!!! long live MMKJ
 
Haijalishi habari au ukweli wowote ambao tutaufunua; haijalishi kuwa kampuni ya Dowans iliingia kilaghai (kama tutavyoonesha) ikitumia mtindo wa Richmond (kujisema inahusiana na kampuni kubwa ya kimataifa); haijalishi uchunguzi au kamati yoyote.. mitambo ya Dowans itanunuliwa na serikali na mazungumzo yanaendelea kufanikisha hilo.

Vyovyote vile itakavyokuwa serikali itanunua mitambo ya Dowans inspite and despite of whatever is revealed. Hii ndiyo sababu ya Ngeleja kusema wanataka mjadala huu ufungwe ili Tanesco wafanye maamuzi yao bila kuingiliwa. Kimsingi, Al-Awadi ameshaingia hasara ya kuyaleta kwani ahadi ilikuwa ni mwisho wa muda (ile miaka miwili) serikali itanunua majenereta hayo. This now seems to be in limbo..
 
mimi nasubiri kwanza nione JK kausika kivipi halafu nianze kuunganisha dots zangu labda naweza nikaujua na mzizi wa richmond hapa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom