tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
'Upumbavu ni kipaji kama urefu na ufupi' J. K. Nyerere
Mwakyembe ni MFUPI....
wasiomjua Mwakyembe anawapa shida kweli...
'Upumbavu ni kipaji kama urefu na ufupi' J. K. Nyerere
Mwakyembe ni MFUPI....
the apparel makes a man. You are what you wear!!!
Kwa udaku niliopata toka kwa mtu wa karibu kabisa na bunge la URT, nasikia hilo dongo kapigwa Mh Kafulira
Nyie hapo juu......hamjamuelewa Dr Mwakyembe.....lol
waafrika bwana, wengine mavazi, wengine raba, wengine kiingereza .ha ha ha ha
Mbona George W Bush alikuwa anavaa kajizi kamepaukaa. Na pia sidhani kama Putin wa urusi anafahamu kuongea kiingereza. Mwakyembe naye nafikiri bado ana colonial mentality.
Kinachowafanya kudharaurika ni kuomba omba na kusema sisi ni masikini wakati kila kitu kimejaa bongo madini mpaka mnyama kakakuona. Wabunge wakitaka kutodharaulika watunge sheria za kulinda hadhi kwa taifa, sheria zikulinda umoja wa kitaifa, sheria za kulinda maliasili na malaghafi kwa taifa, sheria za kuwapendelea watanzania. Na wakati huo huo wasizisimamie sheria na kuziheshimu.
Vingenevyo hata ukipiga suti kali na kiatu chako kikali na kuongea lugha ya mkoloni kwa madaha yote bado utadharaulika tu, tena watakuonyesha kwenye tv zao ulivyopiga viwalo vyako na hapo hapo wanaonyesha watu wanavyoishi kwenye vinyumba vya msonge inzi wakiwatapakaa machoni na mdomoni na watu hao hao hawana chakula. Tena ni bora ukienda umevaa kimasai utaheshimika zaidi.
Jamiiforums ina mtahadharisha Mh. Mwakyembe awe mwangalifu na kauli zake, maana ni bora kuwa na mbunge mzalendo mfia-nchi aliyevaa suti na raba alizolipia mwenyewe kuliko yule anayehongwa hata mavazi kama ndiyo bei nzuri ya kuuzia rasilimali za nchi
Mwakyembe ni limbukeni mno.Nje ya Nchi mikutano kadhaa wazungu mnao wafuata huwa wamevaa kawaida tu na pia wakija hapa mara nyingi wanavaa kawaida sasa ubaya uko wapi .Kuvaa suti kunasaidia nini