Mwakyembe: Mbunge unakwenda kwenye mkutano nje umevaa suti na raba kwanini usidharaulike?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.

Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.
 
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.

Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.


Kunatakiwa semina elekezi Ngurdoto kwa viongozi wa ngazi fulani wakiwemo wabunge na mawaziri kuhusu dress codes, casual, official, dinner na table manners! bila kusahau crash programe kama ya wiki 4 hivi ili wapolish kiingereza chao; wagombea wa ubunge wa afrika mashariki walinitia kichefuchefu walipokuwa wakijieleza kabla ya uchaguzi!, teh teh teh.
 
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.

Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.

Kwani ina tatizo gani? Mbona Will Smith anapigaga sana hizo tu?
 
Mwakyembe yuko sahihi kabisa kwenye hili. Na wabunge wetu wasione aibu hata kidogo ya kufanya semina ili wajifunze namna ya kuvaa, maana wengi wao wakiwa nje ya nchi wanaleta fedheha.
 
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.

Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.

Salary slip,

..tatizo la Mwakyembe ni lugha yake ya dharau.

..nimeshamsikia, siyo mara moja, akitoa kauli za kudharau elimu za wenzake.

..sasa naona ameongeza na ujivuni kwamba yeye anajua kuvaa kuliko wenzake.
 
Heri uvae hivyo umwage nondo za maana,sasa wengi wao kaputi kabisa. Tanzania ya Nyerere alikufa nayo!
 
Salary slip,

..tatizo la Mwakyembe ni lugha yake ya dharau.

..nimeshamsikia, siyo mara moja, akitoa kauli za kudharau elimu za wenzake.

..sasa naona ameongeza na ujivuni kwamba yeye anajua kuvaa kuliko wenzake.

Watu wanaojifanya vipanga aka wenye tabia ya ujivuni wanaboa sana tulikua nao sana CoET lakn wengi sasa wanaemea pua moja tu!
 
Leo Mwakyembe ametoa kali bungeni wakati akijibu hoja za wabunge kuwa waache kulalamika kuwa wanapokuwa nje ya nchi kama watanzania wanadharaulika na badala yake akawaambia kuwa kama mtu unaenda nje ya nchi kwenye mkutano huku umevaa suti na raba kwanini usidharaulike.

Sasa hapa sijui alikuwa anamlenga nani ila kauli hii iliibua zogo bungeni na ilibidi mwenyekiti wa bunge Jenister Mhagama afanye jitihada kumaliza kelele zilizoibuka baada ya kauli hiyo.

Mwakyembe ni limbukeni mno.Nje ya Nchi mikutano kadhaa wazungu mnao wafuata huwa wamevaa kawaida tu na pia wakija hapa mara nyingi wanavaa kawaida sasa ubaya uko wapi .Kuvaa suti kunasaidia nini
 
Naona ndugu yangu hujamuelewa, hapa ni kuvaa suti na raba! si kuvaa kawaida

Mwakyembe ni limbukeni mno.Nje ya Nchi mikutano kadhaa wazungu mnao wafuata huwa wamevaa kawaida tu na pia wakija hapa mara nyingi wanavaa kawaida sasa ubaya uko wapi .Kuvaa suti kunasaidia nini
 
mimi nakerwa na wabunge wanaovaa suti za kaunda mikono mifupi na ndani wanaweka vibrauzi vya kike,
Unaona mbunge amevaa ki t-shirt kina shingo ndefu imeacha kifua wazi. Hizo ni brauzi, zinatia kichefu chefu.

Makene,

..U made my day!!

..mimi kaunda yangu huwa sivai t-shirt ndani.

..naachia kifua wazi ili watu waone nywele zangu zenye mvi!!

..just kidding!
 
Si bora wavae raba waongee vya maana? Kuliko mukulu aliesema we are manufacturing teachers huku kavaa suti ya kuhongwa na viatu vya complimentary! In the end ur brain is supposed to sell u. When u got brains, very few will care about looks and dressings!
 
Kwa udaku niliopata toka kwa mtu wa karibu kabisa na bunge la URT, nasikia hilo dongo kapigwa Mh Kafulira
 
mimi nakerwa na wabunge wanaovaa suti za kaunda mikono mifupi na ndani wanaweka vibrauzi vya kike,Unaona mbunge amevaa ki t-shirt kina shingo ndefu imeacha kifua wazi. Hizo ni brauzi, zinatia kichefu chefu.
kama ni mwanamke ulitaka avae ya kiume?
 
Alishawahi kwenda kwenye press conference akiwa kavaa tshirt...kipindi kile cha conflict of interest kule kisasida!!!nakumbuka akina kiranga walimsema kwelikweli...nadhani somo lile lilimuingia hivyo nae kaona awanange wenzake!!!
 
:biggrin1: hapo mwakyembe kampiga mtu dongo....eti suti na raba hivi kweli kuna mtanzania alikua akiwa kwenye mikutano huko nje anavaa suti na raba? na sio hiyo tu pia wakiwa huko kwenye mikutano nina uhakika hata kiingereza walikua hawakijui kwa hiyo walikua wakiongea wenzao wanawacheka tu.. juzi wakati wa kuchagua wabunge wa bunge la afrika mashariki ndio nilipojua kua kweli watanzania hatujui kiingereza, nna uhakika hata wakenya na waganda wanatuchekaga sana wakiwa kwenye hilo bunge la EA
 
Back
Top Bottom