Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Hivi kama ni kweli Mwakyembe amepewa radioctives na maagent wa TISS, ina maana vyombo vya serikali vya usalama vimetumika kuwaangamiza raia wake yenyewe? Mungu hawezi kuacha huu uovu upite bila adhabu inayostahili. Pole sana Dr. Mwakyembe, ugua pole, Mungu atakulipizia kisasi na kisasi cha Bwana nani awezaye kustahimili?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
ugua pole na itabidi umrudie mungu ako ndio atakusaidia pamoja na sala zetu mungu akusalie upone..
 
Wewe umejuaje wahusika wanajulikana?
Kama unawajua wataje hapa nasi tujue. Halafu, is it really confirmed ya kwamba amepewa sumu? Tena sumu hizo hapo juu au ni tetesi tuu hizi?

Tujuzane kiukweli jamani

Kuhusu ni nani katenda kamuulize jarson nakumbuka kama alikuwa anasema TISS WANAHUSIKA na hilo, nami nawaambia watakuwa vibaraka wa magamba mpaka lini?
 
Jamani nani ana medical history ya Mwakyembe kabla ya matatizo haya?. Tusiwe watu wa kutoa hukumu kwamba amelishwa sumu kabla ya kujua ukweli.
 
Picha ipo gazeti la mwananchi la Nov 11,ukurasa wa mbele ametembelewa na Sita,nilipoona hiyo picha nimekuta machozi yanatoka yenyewe,kama kweli kuna watu wamefanya hayo mambo kwa ajili ya kumkomoa basi Tanzania pamekuwa si salama tena ,tutakuwa tunaenda pabaya na kama ni ugonjwa wa Mungu basi tumwombee Mwakyembe apone.
 
Dah! Wameshammaliza, sijui kama atarudia afya yako aliyokuwa nayo kabla. Mungu amsaidie.
 
Nilipomwona kwa gazeti mwananchi jana 18.11.2011 nimetokwa sana na machozi. Jamani mwakyembe sidhani kama utarudi salama na kuendelea kuwatumikia hawa magamba. Pole sana dr.!!??
 
<div style="display:none;"> <img src="//pixel.quantserve.com/pixel/p-95EVqn2X8Y6XI.gif" border="0" height="1" width="1" alt="Quantcast"/> </div>



<div style="display:none;"> <img src="//pixel.quantserve.com/pixel/p-95EVqn2X8Y6XI.gif" border="0" height="1" width="1" alt="Quantcast"/> </div>

Ndio nini hii sasa?!!, hii lugha unaijua wewe mwenyewe!
Na kama uatutukana pia mwenyewe!!
We leta point kuhusu mada husika
 
Kinacho mmaliza Mwakyembe ni ile siri aliyosema anaihifadhi kwa kulinda heshima ya serikali na kuna wakati alitishia kuwa kuna siku atafyatuka. Kwa vile wabaya na watesi wake wanajua siku akifyatuka atakuwa amewamaliza,hivyo waliona salama yao ni kumnyamazisha milele. Kwa vile Mwakyembe bado ana ufahamu wake bado na anaweza kuzungumza kwa kinywa chake, basi ni vema akayasema yote SASA kwani watesi wake wameshafanya kweli,na pia atakuwa ametutendea haki watanzania.
 
kwanza kabisa poleni sana ndugu zetu wa kyela, ndugu zetu wa mbeya na watanzania kwa ujumla, najua mmeumizwa sana, ril mie nimeiona iyo picha katka gazeti la mwananchi, ndugu yetu Dr mwakyembe kaumizwa sana, na ukiiangalia ile picha kwa muda lazima machozi yatakutoka, huu si ubinadamu ni unyama mkubwa, kweli hii si Tanzania tunayoifahamu, na nina amini genge la waliohusika na unyama huu mkubwa wanajiandaa kugombea kiti cha uraisi ati watuongoze, si mtatuangamiza mna roho mbaya sana na ni wa kuepukwa kama kansa, ril mshindwe na katu hamtoweza, tunawachukia sana mabaladhuli wakubwa. Na mssssshiiindwe binadamu wenye roho za kinyama wakubwa (Laana tulwahi wakubwa mmetuumiza sana)
 
kwanza kabisa poleni sana ndugu zetu wa kyela, ndugu zetu wa mbeya na watanzania kwa ujumla, najua mmeumizwa sana, ril mie nimeiona iyo picha katka gazeti la mwananchi, ndugu yetu Dr mwakyembe kaumizwa sana, na ukiiangalia izi picha kwa muda lazima machozi yatakutoka, huu si ubinadamu ni unyama mkubwa, kweli hii si Tanzania tunayoifahamu, na nina amini genge la waliohusika na unyama huu mkubwa wanajiandaa kugombea kiti cha uraisi ati watuongoze, si mtatuangamiza mna roho mbaya sana na ni wa kuepukwa kama kansa, ril mshindwe na katu hamtoweza, tunawachukia sana mabaladhuli wakubwa. Na mssssshiiindwe binadamu wenye roho za kinyama wakubwa (Laana tulwahi wakubwa mmetuumiza sana)
 
Acheni mambo ya kichochezi. Una uhakika gani kuwa ccm wamemlisha sumu?.

Mnajaribu kupandikiza chuki kati ya serikali na wananchi wake. Acheni hizo.
 
Wewe umejuaje wahusika wanajulikana?
Kama unawajua wataje hapa nasi tujue. Halafu, is it really confirmed ya kwamba amepewa sumu? Tena sumu hizo hapo juu au ni tetesi tuu hizi?

Tujuzane kiukweli jamani

Kuna siku Chenge alinaswa na kamera akinyunyiza sumu kwenye viti vya wabunge wenzake. Need more?
 
Nilipomwona kwa gazeti mwananchi jana 18.11.2011 nimetokwa sana na machozi. Jamani mwakyembe sidhani kama utarudi salama na kuendelea kuwatumikia hawa magamba. Pole sana dr.!!??
halafu wazee wa siasa maji taka uku wakigonganisha glasi kwa vyovyote wakipongezana kwa walichokifanya wakatwambia " Aaah Dr mwakyembe na Proffesa Mwandosya wanaendelea vizuri na karibuni watarudi wako salama kabisa, Jamani kwa hali hii katika picha au hizi picha zitakuwa ni za zamani?? maana katika picha kiukweli hiyo hali c nzuri, alosema kuwa yuko vizuri nae halitakii mema taifa hili, Ndugu zetu Dr mwakyembe na Proffesa Mwandosya kama tulivyoagizwa na Mungu mtukufu kuwa tukimuomba kwa dhati sala zetu atazisikia na kuzifanyia ivyo tunawaombea mpone pia mrudi nyumbani mkiwa salama, inshallah Mungu zipokee dua zetu
 
Acheni mambo ya kichochezi. Una uhakika gani kuwa ccm wamemlisha sumu?.

Mnajaribu kupandikiza chuki kati ya serikali na wananchi wake. Acheni hizo.

Kwa hiyo ni nani kamlisha? Mtaje kama unamjua.
Hivi bado mtu anahubiri amani tu?
Hii sasa imezidi.
 
Mtu anayemwogopa Mungu ni yule anaemwamaini Mungu yupo na ana hofu nae.
Lakini linapokuja suala la mtu kutojali wala kutambua Mungu yupo unadhani ana hofu gani ya kuua, kuibia masikini, kutenda uovu, unafiki wa hali ya juu ktk hali ya hatari?
Most of leaders and rulers do not have a fear of God.
 
Acheni mambo ya kichochezi. Una uhakika gani kuwa ccm wamemlisha sumu?.Mnajaribu kupandikiza chuki kati ya serikali na wananchi wake. Acheni hizo.
mkuu unafanya kazi kwa niaba ya magamba, umetumwa?? watu wako serious, tumeumizwa au mwenzetu umefuraishwa na hali iyo?? ilo la chenge nalo unabisha? acha hizo, nyie ndo mkipenda sana hata chongo mtaita ni kengeza, pia pengo utadai ni mwanya. unadhihirisha roho yako ilivyo kama magamba pia mafisadi wenzako
 
Jamani nani ana medical history ya Mwakyembe kabla ya matatizo haya?. Tusiwe watu wa kutoa hukumu kwamba amelishwa sumu kabla ya kujua ukweli.
CCM wabaya sana mwenyewe alishaliweka wazi hili hadi majina na plate number za magari yao, pole sana Mwakyembe CCM ni mafia usicheze nao tena.
 
Acheni mambo ya kichochezi. Una uhakika gani kuwa ccm wamemlisha sumu?.

Mnajaribu kupandikiza chuki kati ya serikali na wananchi wake. Acheni hizo.

haipandikizwi chuki, bali tunaichukia serikali yetu tukiwa na sababu dhahiri. ccm inajificha kwenye kaswali kako kakipuuzi eti una uhakika gani! kwani wewe ndiye mratibu tena pekee wa shughuli za ccm?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom