bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Bee mwambie huyo kuwa ukizowea kuimba hizi hata sauti inakuwa inajifanyia automatic tuning......inageuka nyororoooooo lolz
Unaosha vyombo huku na "fanya wema wende zako singojee shukurani"
ushajifunza pia hahaha
kweli kabisaa, utashangaa huyoo unaanza kuwa na sauti ya wimbo tu...
halafu ukiimba kazi zinaenda haraka kweli kweli