Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Mimi binafsi si mpenzi wa muziki wa taarabu lakini nimekuwa nikiufuatilia kwa muda sasa...Kitu kinachonivutia ni lugha ya picha ambayo inavutia sana endapo mtu unapata nafasi ya kuitafakari!!
Nimejaribu kuvuta kumbukumbu zangu, na kukutana na baadhi ya miziki ambayo kweli inavutia!! Naweka hii hapa chini na natumai wadau watanisaidia kutukumbusha nyimbo nyingine na ikiwezekana kutuwekea baadhi ya mashairi na nukuu ambazo zili/zinawakuna!
1. Wrong namba
2. Y 2 K
3. Zumbukuku
4. Kuna waimbo fulani siukumbuki jina ila ulikuwa unasema kwamba, "manahodha wa mashua kwa nini muwe nyuma, chombo kikienda mrama nani alaumiwe"?
5. Njiwa (Patricia Hilal)
6. Asu (Abdul Misambano.....my favourite song)!!
7.
Waimbaji mahiri: Najua wako wengi ila naweza kuwakumbuka baadhi tu....
1. Shakila
2. Issa Matona
3. Khadija Kopa
4. Nasma Khamis
5. Mzee Yusufu
6.......
Hata hivyo baadhi ya nukuu ambazo nimekutana nazo hivi karibuni ni kama hizi,
"Ukiona nanga inatupwa kwenye maji, ujue jahazi limefika. Ndimu changa haina maji na bamia ikikomaa sana inapoteza thamani"....by Khadija Mohamedi!!!
Naomba michango yenu wandau kwani naanza kuvutiwa zaidi na kutamani kuufahamu zaidi huu muziki!!
Nimejaribu kuvuta kumbukumbu zangu, na kukutana na baadhi ya miziki ambayo kweli inavutia!! Naweka hii hapa chini na natumai wadau watanisaidia kutukumbusha nyimbo nyingine na ikiwezekana kutuwekea baadhi ya mashairi na nukuu ambazo zili/zinawakuna!
1. Wrong namba
2. Y 2 K
3. Zumbukuku
4. Kuna waimbo fulani siukumbuki jina ila ulikuwa unasema kwamba, "manahodha wa mashua kwa nini muwe nyuma, chombo kikienda mrama nani alaumiwe"?
5. Njiwa (Patricia Hilal)
6. Asu (Abdul Misambano.....my favourite song)!!
7.
Waimbaji mahiri: Najua wako wengi ila naweza kuwakumbuka baadhi tu....
1. Shakila
2. Issa Matona
3. Khadija Kopa
4. Nasma Khamis
5. Mzee Yusufu
6.......
Hata hivyo baadhi ya nukuu ambazo nimekutana nazo hivi karibuni ni kama hizi,
"Ukiona nanga inatupwa kwenye maji, ujue jahazi limefika. Ndimu changa haina maji na bamia ikikomaa sana inapoteza thamani"....by Khadija Mohamedi!!!
Naomba michango yenu wandau kwani naanza kuvutiwa zaidi na kutamani kuufahamu zaidi huu muziki!!