hapana sijaolewa
Suala zuri kabisa. Sisi wazanzibari tunakwetu tutarudi na nyinyi watanganyika muna kwenu murudi. Sasa, kwa kuwa kuna demokrasia, watu wataamu wanapotaka kuishi. Sisi wazanzibari hatuwafukuzi binaadamu kuishi zanzibar. Hatuna chuki na raia. Matatizo yetu ni kuburuzwa na watawala. Wananchi hawatuletei matatizo yoyote bali muungano na viongozi wake ndio tatizo.
AHAA sasa zanzbar ukija lazima owombe visa tena iyambatane na barua ya mualiko ya mzawa wa zanzibar akupatie,na visa itakuwa dola 100,ila lazima uwe na bank statement inayoonyesha una kiwango cha dola kuanzia elfu40,tutakusumbua kama ubalozi wa america na uk,suala la barua sijui mzanzibari gani atakupatia.
Mhh! Ivuga, unafanya utafti gani mkuu na hayo maswali yako?!umeolewa au hujaolewa?
CUF bara wataendelea kuwa imara sana maana mpaka sasa kinachowaharibia ni siasa za Upemba na Uunguja
NZURIPESA.Ndugu yangu, si afadhali ya hao WATANGANYIKA na WAZANZIBAR wananchi zao ambazo ni TANGANYIKA na ZANZIBAR na Sisi WATANZANIA je? Ambao ni ZAO kati ya mtz na mznzbr,TUTAKWENDA WAPI?
Suala zuri kabisa. Sisi wazanzibari tunakwetu tutarudi na nyinyi watanganyika muna kwenu murudi. Sasa, kwa kuwa kuna demokrasia, watu wataamu wanapotaka kuishi. Sisi wazanzibari hatuwafukuzi binaadamu kuishi zanzibar. Hatuna chuki na raia. Matatizo yetu ni kuburuzwa na watawala. Wananchi hawatuletei matatizo yoyote bali muungano na viongozi wake ndio tatizo.
Hee,kumbe muungano bado upo?Mi nilijua umeshavunjika kitambo tuu!!