''Kila nchi inastaili yake ya kujiunga, hapa sisi tunaitambua Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania na wala si Tanzania au vinginevyo,'' alisema Dk. Migiro.
 
''Kila nchi inastaili yake ya kujiunga, hapa sisi tunaitambua Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania na wala si Tanzania au vinginevyo,'' alisema Dk. Migiro.
.

Hawa hawakuelewi Mwiba. Mimi nakuelewa. Kuna Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hii inaeleweka kuwa ndiyo Mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Imechukua nafasi (baada ya kuungana) za waliokuwa wanachama- Zanzibar na Tanzania (au kwa jina jengine Tanganyika kama lilivyokuwa likitumika kabla ya kubadilishwa kutokana na ushawishi wa matakwa ya Mwalim Nyerere)
 
Kuna kitu ambacho tunapaswa kutenganisha, sovereign state na state. Zanzibar ni nchi ambayo haina soverignity yake binafsi. Sovereignity yake inapatikana kupitia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kinachodaiwa kwa mlango wa nyuma hapa ni sovereignity na si swala la Zanzibar kuwa nchi. Tupende tusipende muungano wa Tangznyika na Zanzibar umefikai mahali, kama ilivyo miungano mingine ya jinsi hiyo hufikia. Mathalani kunavuguvugu United Kingdom ambapo Wascot, kama Zanzibar, wanataka uhuru wao kamili ili wawe sovereign state.
Kuna mashabiki na wapinzani wa muungano huu toka zamani, itakuwa vema sasa tufikie mahali tuamue ki utu uzima bila aibu kutathmini kama kuna haja ya kuendelea kuungana au la. Potelea mbali hata kama wengi watataka tutengane turidhie. Nini kitkachotokea ndani ya kila nchi hapo baadaye itakuwa mambo ya ndani ya nchi husika. Tutafuata msahafu wa AU wa kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine. Kuan kila aina ya vitisho kwa wachangiaji mbalmbali, kwa nini tusifuate njia ya Czechoslovakia? Tutngane tukiwa na mapenzi kati yetu. Tusikubali kuambukizwa chuki ya kuwa kuna upande mmoja unafaidi zaid au unambeba/unabebwa na mwingine. Kabla ya muunganotuliishibila matatizo, labda tu hayo Mapinduzi.
 
Kuna kitu ambacho tunapaswa kutenganisha, sovereign state na state. Zanzibar ni nchi ambayo haina soverignity yake binafsi. Sovereignity yake inapatikana kupitia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kinachodaiwa kwa mlango wa nyuma hapa ni sovereignity na si swala la Zanzibar kuwa nchi. Tupende tusipende muungano wa Tangznyika na Zanzibar umefikai mahali, kama ilivyo miungano mingine ya jinsi hiyo hufikia. Mathalani kunavuguvugu United Kingdom ambapo Wascot, kama Zanzibar, wanataka uhuru wao kamili ili wawe sovereign state.
Kuna mashabiki na wapinzani wa muungano huu toka zamani, itakuwa vema sasa tufikie mahali tuamue ki utu uzima bila aibu kutathmini kama kuna haja ya kuendelea kuungana au la. Potelea mbali hata kama wengi watataka tutengane turidhie. Nini kitkachotokea ndani ya kila nchi hapo baadaye itakuwa mambo ya ndani ya nchi husika. Tutafuata msahafu wa AU wa kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine. Kuan kila aina ya vitisho kwa wachangiaji mbalmbali, kwa nini tusifuate njia ya Czechoslovakia? Tutngane tukiwa na mapenzi kati yetu. Tusikubali kuambukizwa chuki ya kuwa kuna upande mmoja unafaidi zaid au unambeba/unabebwa na mwingine. Kabla ya muunganotuliishibila matatizo, labda tu hayo Mapinduzi.

The only way out is EAC, ikichelewa kutumeza pamoja tu Tanzania will be no more.Of course hata kama utawahi Tanzania will be no more regardless, but some people would deem muungano kuvunjika to be such a disgrace. I am one who accept reality and the reality is that the muungano is tired and needs a break.
 
Anyway..kama mambo yenyewe ndio haya wazanzibari tuendeleeni kuwa ndugu tu...mtafanyaje na nyie DUNIA haitaki kuwatambueni??
 
Hey East AFrica, Zanzibar is not sovereign. you, especially non tzs should get the constitution of the united Republic of tz and read it well. Zanzibar is neither a state not sovereign or whatsoever, its more or less a province of Tz like Arusha, Dar or Kilimanjaro. the thing which is happening here is that, the zanzibaris want to depart from Tanzania mainland because they think they are sufficient of themselves cuasue of discovery of oil in Pemba, so wanataka wayafaidi yale mafuta with exclusion of watz mainland. Na kweli kuna mafuta mengi sana kule na kama zanzibar wakiamua kujitenga na tz wakayachimba, kila raia wao atakuwa tajiri sana kwasababu utajiri wao utakuwa mkubwa kuliko uwingi wa watu. zanzibar is below 1 mil. population. it is not easy for them to be independent from Tanzania unless the constitution of the United Rep.of tz is amended to exclude it.

Mkuu Mbeba Maono,

Mimi binafsi, sikubaliani na usemi kuwa Zanzibar is a total sovereignty na vile vile sikubaliani na huo usemi wako kuwa Zanzibar ni sawa na mkoa wowote wa Tanzani. Na kama pana utata, waliosababisha utata huu ni waasisi, Wazee wetu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume.

Wakati, Mzee Nyerere, alikubali kwa niaba yetu kupoteza total sovereignty ya Tanganyika ndani ya Tanzania, Mzee Karume, aliusitukia mpango huo, akataka kwa niaba ya wenzetu, kubakiza sehemu kubwa ya sovereignty ya Zanzibar kwa Wazanzibar wenyewe na kiasi kidogo tu cha sovereignty yake ndio kiwe chini ya himaya ya Tanzania.

Mpango huu, kwa hakika haujapata kutokea popote duniani. Kwa nini waliukubali? Ni mpango ambao haueleweki kabisa. Na ndio maana Mzee Nyerere hakuweza kuzidisha yale mambo 11 ya Muungano wala kuunganisha TANU na AFRO-SHIRAZI mpaka baada ya Mzee Karume kufariki. Mzee Karume aliukataa Ujamaa mbele ya Mzee Nyerere. Na kama si Mzee Karume kufariki naamini Zanzibar mpaka kesho ingekuwa mwanachama wa IOC.

Na kama angekuwa bado yupo hai, kwa matamshi ya Waziri Mkuu Pinda ndio ingekuwa mwisho wa muungano wenyewe.

Tukae chini turudi ubaoni, tuupange sawasawa muungano wetu huu. Ingawa hatupendi kusikia, lakini bila ya kusikilizana na Wazanzibar, muungano huu utakwenda alijojo, mafuta or no mafuta. Muungano wa 2-10 hautawezekana.

Zanzibar ni nchi ndani ya Tanzania. Hicho kinachoitwa sehemu ni nchi, hata kwa jina gani lingine. Kama vile Tanzania Bara ni Tanganyika tu, hata ukitamka kwa mung'unya. Na tanganyika ni nchi hata kama si sovereign.
 
Mkuu Mbeba Maono,

Mimi binafsi, sikubaliani na usemi kuwa Zanzibar is a total sovereignty na vile vile sikubaliani na huo usemi wako kuwa Zanzibar ni sawa na mkoa wowote wa Tanzani. Na kama pana utata, waliosababisha utata huu ni waasisi, Wazee wetu Julius Kambarage Nyerere na Abeid Amani Karume.

Wakati, Mzee Nyerere, alikubali kwa niaba yetu kupoteza total sovereignty ya Tanganyika ndani ya Tanzania, Mzee Karume, aliusitukia mpango huo, akataka kwa niaba ya wenzetu, kubakiza sehemu kubwa ya sovereignty ya Zanzibar kwa Wazanzibar wenyewe na kiasi kidogo tu cha sovereignty yake ndio kiwe chini ya himaya ya Tanzania.

Mpango huu, kwa hakika haujapata kutokea popote duniani. Kwa nini waliukubali? Ni mpango ambao haueleweki kabisa. Na ndio maana Mzee Nyerere hakuweza kuzidisha yale mambo 11 ya Muungano wala kuunganisha TANU na AFRO-SHIRAZI mpaka baada ya Mzee Karume kufariki. Mzee Karume aliukataa Ujamaa mbele ya Mzee Nyerere. Na kama si Mzee Karume kufariki naamini Zanzibar mpaka kesho ingekuwa mwanachama wa IOC.

Na kama angekuwa bado yupo hai, kwa matamshi ya Waziri Mkuu Pinda ndio ingekuwa mwisho wa muungano wenyewe.

Tukae chini turudi ubaoni, tuupange sawasawa muungano wetu huu. Ingawa hatupendi kusikia, lakini bila ya kusikilizana na Wazanzibar, muungano huu utakwenda alijojo, mafuta or no mafuta. Muungano wa 2-10 hautawezekana.

Zanzibar ni nchi ndani ya Tanzania. Hicho kinachoitwa sehemu ni nchi, hata kwa jina gani lingine. Kama vile Tanzania Bara ni Tanganyika tu, hata ukitamka kwa mung'unya. Na tanganyika ni nchi hata kama si sovereign.

"total sovereign" is at least absurd as all sovereignty is total.

And this is why Zanzibar is not sovereign.
 
Dk. Migiro either ameboronga au amekuwa misquoted.

Nchi haiwezi kuwa mwanachama wa UN kama nchi hiyo si nchi sovereign, that is true.

Lakini at the same time kutokuwa mwanachama wa U.N hakumaanishi kwamba wewe si nchi sovereign. U.N ni taasisi ya kimataifa kama nyingine nyingi, kuna nchi sovereign kama Switzerland ambazo kutokana na principles zake za neutrality na interests zake za banking zimeamua kutokuwa member wa U.N and many international organizations such as the E.U, NATO, SHENGEN and what not.Hii ni kwa sababu wa Swizi hawataki mikataba ya taasisi hizi iwafunge, hawataki ku abide to U.N resolutins ambazo zinaweza kuwa na implications kwenye banking industry yao na vitu kama hivyo.

Kwa hiyo kuleta issue ya uanachama wa U.N, which insinuates that as a criteria ya ku determine kama Zanzibar ni nchi au siyo at best ni upotoshaji.

Mwandishi anaruka left right and center lakini haja address swala muhimu, nini kinafanya nchi kuwa nchi?

Mkuu Pundit,

Tupo pamoja. Swali ni je, Zanzibar ni nchi? Sio je, Zanzibar ni nchi inayotambuliwa na UN?

Tanzania haitambuliwi na UN pia. Nchi inayotambuliwa na UN ni Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa mtu ajiulize mwenyewe huu Muungano ni muungano wa nini?

Muungano hauwezi kuwa wa kitu kimoja. Ni lazima uwe muungano wa vitu zaidi ya kimoja.

UN inatambua kuwa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ina nchi zaidi ya moja katika muungano wake, Zanzibar na Tanganyika. Bila ya nchi mojawapo kuwamo ndani ya muungano huo, basi tujue hakuna Tanzania.

Kabla ya hapo UN hiyo hiyo ilishatambua Zanzibar na Tanganyika kama nchi mbili tofauti. Na sasa inazitambua nchi mbili hizo kama nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Kuwa nchi sio lazima itambuliwe na UN au sovereign. Tanganyika ina sovereignty na Zanzibar ina sovereignty ndani ya sovereignty ya Tanzania.
 
nimeangalia kwa muda mrefu sana nimesoma waandishi wote walio changia mada ya zanzibar inchi au sio nchini nimegundua kuwa wote walio changia wanataka muungano wengi wao ni watu wa upande wa bara kwa upande wa visiwani naona wao hawautaki muungano sasa iweje upande wa bara wang'ang'anie muungano inaonyesha kweli kuna kuibiana tangu lini mtu mzima akafanya ushirika na mtoto hapo si kutaka kumuibia tu hakuna sheria yoyote duniani inayo sema nchi kubwa kuungana na nchi ndogo lakini madhali mumeungana huyu katoa chake na wewe umetoa chako usiangalie udogo au ukubwa kuwa wewe ni mkubwa ndio uchukue kila kitu tugawana sawasawa kwahiyo watu wa bara wao ndio wanao utakla muungano ili wazidi kuwanyonya
 
mbona nyinyi watu wa upande wa bara mnautaka tu muungano kwa nini msiungane na rwanda burudi muungano utavunjika tu hauna maisha marefu manufaa ya muungano wanapata bara sasa ikiwa zenji hawautaki si muvunje tu naona watu wa bara wanatapatapa tu kumbuka huu hautodumu hakuna njia ya kuulinda wamechoka na muungano wa kuibiana
 
nimeangalia kwa muda mrefu sana nimesoma waandishi wote walio changia mada ya zanzibar inchi au sio nchini nimegundua kuwa wote walio changia wanataka muungano wengi wao ni watu wa upande wa bara kwa upande wa visiwani naona wao hawautaki muungano sasa iweje upande wa bara wang'ang'anie muungano inaonyesha kweli kuna kuibiana tangu lini mtu mzima akafanya ushirika na mtoto hapo si kutaka kumuibia tu hakuna sheria yoyote duniani inayo sema nchi kubwa kuungana na nchi ndogo lakini madhali mumeungana huyu katoa chake na wewe umetoa chako usiangalie udogo au ukubwa kuwa wewe ni mkubwa ndio uchukue kila kitu tugawana sawasawa kwahiyo watu wa bara wao ndio wanao utakla muungano ili wazidi kuwanyonya

Mimi mtu wa bara sitaki muungano, lakini pia sitaki kuuvunja muungano kwa sababu tu mimi siutaki, nimependekeza kura ya maoni 2010, bara na visiwani, ili muungano uendelee utabidi kupata kura zaidi ya 50% pande zote.Lakini post zangu nyingi za nyuma zinaonyesha sishabikii muungano na kama watu hawataki tuwaache waende.

Matokeo yoyote yatakayokuja kihalali (bila mizengwe) nitakubaliana nayo kama maoni ya watanzania.
 
Muungano will never be the same again ,baraza la wawakilishi la Zanzibar linataka kupitisha Azimio litakalojulikana kama Azimio Ajuari ,kwa kurudi kwa kasi na ari mpya katika yale mambu kumi na moja tu ,na yale yaliochomekewa itabidi yawekwe kando na kutupwa kabisa, jambo moja ambalo wanakuwa wakilitajataja ni kuwa hakuna chombo chochote chenye ruhusa ya kuzidisha au kupunguza katika mambu yale kumi na moja , hapo inaonyesha wanalinyooshea kidole Bunge la Serikali ya Muungano au wanaihoji kwa mbali au wanaipiga kijembe ,ni nani aliwaruhusu kuongeza mijimambo mpaka yakafikia 22 ?
Tena kwa speed ya tireni ya umeme ,ndio ukasikia wakijiandaa na kuitafuta mahakama ya Katiba ambayo wanasema na kuhoji kwa nini haijaundwa na ulikuwepo mkakati wa kuiunda mahakama hii kisheria ,ni kitu gani kinaogopwa kuunda mahakama hii ? Hapo unaweza kunusa na ukapata harufu.
Sio hapa tunajadiliana kwa kina lakini kilichojificha ni hiyo mahakama mafisadi wametaka eti watu wawaendee wanasheria wakuu ,hawafahamu kuwa wanasheria hao hawawezi kuponyesha chochote ,kwani hadi hii leo mafisadi wanatembea kifua mbele na hawajasema kitu ,yaani kama hawajui kuna jambo gani mafisadi hawa wamelifanyia Taifa hili la Jamhuri ya Muungano ? Kwa upande wangu huwaga nazungumzia tu haya machovu yaliyozuka jana na juzi ya mambu ya Muungano lakini kila nikipiga bongo naona wanatupindisha kwa nguvu aidha ni kwa kushirikiana hawa mafisadi wa Tanganyika na wale wahafidhina ili kulihamisha Taifa na wanacchi wake tukitahamaki uchaguzi umefika, hivyo hili naona bora liwekwe kando ,kwanza tuyamalize haya ya mafisadi ,kuweni macho na hila hizi hawa jamaa wanajaribu kucheza gemu ,na mkijidai kushangilia mtaumia.
 
WaQuebec walikuwa na makeke sana ya kutoka Canada, wakapewa referendum wakapiga kura kubakia Canada kwa 51% mwaka 1995. Toka hiyo referendum husikii tena wa Quebec kuongelea kujitenga Canada.

Serikali inavyochelewesha referendum ndivyo inavyozidisha vuguvugu la kuukataa muungano na kuongeza nafasi ya muungano kuvunjika.
 
SAKATA la hadhi ya Zanzibar kama ni nchi au la, limezidi kupamba moto baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk Asha-Rose Migiro, naye kujitosa katika mjadala huo kwa kusema nchi inayotambuliwa na Umoja huo ni Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na wala si Zanzibar.

Huu ni msimamo wa UN, hauna uhusiano na anything na mjadala unaoendelea bongo sasa hivi kwa maoni yangu, wacha this local mjadala uendelee ili labda tutapata permanent solution ya this nonesense muungano thing!
 
Huu ni msimamo wa UN, hauna uhusiano na anything na mjadala unaoendelea bongo sasa hivi kwa maoni yangu, wacha this local mjadala uendelee ili labda tutapata permanent solution ya this nonesense muungano thing!

This is what I call stating the obvious, we know that Zanzibar is not a UN member, if you offer that obvious and unimpeachably documented statement to the press during this controversy, you are putting yourself at the mercy of shoddy journalists in the way of misquotations.

Dk. Migiro alivyosema hivyo (au alivyoandikwa kusema hivyo) inaweza ku insinuate kwamba Zanzibar si state kwa sababu si mwanachama wa UN, which is the correct conclusion by the wrong reason, overall wrong.
 
Mkuu unless kuna something missing hapa, Mama ambaye ni katibu mkuu wa UN, Tanzania kama nchi lakini haiitambui Zanzibar kama nchi ninaweza nikaamini kuwa anasema ni represented ndani ya part of nchi Tanzania, kama mkoa sioni tatizo na huu usemi kwa sababu haungiliani kabisa na mjadala unaoendelea Tanzania sasa hivi
 
Mkuu unless kuna something missing hapa, Mama ambaye ni katibu mkuu wa UN, Tanzania kama nchi lakini haiitambui Zanzibar kama nchi ninaweza nikaamini kuwa anasema ni represented ndani ya part of nchi Tanzania, kama mkoa sioni tatizo na huu usemi kwa sababu haungiliani kabisa na mjadala unaoendelea Tanzania sasa hivi

Exactly my point,

Unless she is fishing to be misquoted, her entire statement is pointless and rationale is invisible.

What was her point in stating the obvious? tell us something we don't know, or something that has controversy, but unless you are exposing yourself to be misquoted, what is the point of saying "Tanzania is a U.N member state, Zanzibar is not" if you are really not trying to send a subliminary message to the Zanzibaris in the first place?

Then unakuta muandishi aliyesomea Ilala School of Journalism ambaye haujui mlango wa library una rangi gani, ana quote sensationally, then unamkuta airhead mmoja huko Zenj kama Shamhuna, anamburuza huyu mama naye kwenye mijadala ya local politics.

Huyu mama alitakiwa kunyamaza tu kuhusu hii issue, ama sivyo atajua Tanzania watu hawana akili au adabu, bahati yake hawajaidaka hii.
 
Huyu mama alitakiwa kunyamaza tu kuhusu hii issue, ama sivyo atajua Tanzania watu hawana akili au adabu, bahati yake hawajaidaka hii.

Kwa vyovyote atakuwa aliombwa na somebody kusema something, kwenye kuvutia upande wa waliomuomba, that is all na hao waandishi ukute tayari walishapewa something, maana hiyo siku hizi bongo imekuwa ni kawaida waandishi kupewa mgawo kabla ya mkutano nao!
 
naomba mtu anipe: (akitenganisha bara na visiwani)
1. faida/hasara za muungano huu
2. faida/hasara za kuuvunja

Naomba legacy ye nyerere isiwe mojawapo ya vigezo.

Nirahisi sana hilo jibu lako:

Wanaofaidika na Muungano ni Viongozi wa Seikali ya Mapinduzi Zanzibar wa CCM - ambao huwekwa na CCM na hua wanakua funded na CCM wakati wa uchaguzi.

Wanaoumia ni Wananchi kwakua viongozi wao inabidi walipe fadhila walizo pewa.


So kwa kuvunjika muungano - faida zitakua kwa wananchi hasara kwa viongozi wa CCM!
 
Back
Top Bottom