WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Tusipokuwa makini tunaweza kuwa Kosovo nyingine.
Ni lazima viongozi wetu waelewe kuwa suala la muungano si masihara! si suala la kurupuka tu na kutoa majibu au maneno yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Malalamiko na maneno ya Wazanzibari siyo ya kupuuzwa au kupindishwa!
Ni bora kuyatafutia ufumbuzi mapema matatizo ya muungano kuliko kuyafumbia macho.
Waswahili walisema pafukapo moshi .......
Wembe
Ni lazima viongozi wetu waelewe kuwa suala la muungano si masihara! si suala la kurupuka tu na kutoa majibu au maneno yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Malalamiko na maneno ya Wazanzibari siyo ya kupuuzwa au kupindishwa!
Ni bora kuyatafutia ufumbuzi mapema matatizo ya muungano kuliko kuyafumbia macho.
Waswahili walisema pafukapo moshi .......
Wembe