kuvunja muungano ni mawazo finyu sana, kama alivyosema MZEE ES, muungano unahisotria yake, ni kielelezo cha ukombozi wa mtu mweusi dhidi ya ubaguzi wa waarabu,
tutaendelea kukilinda kisiwa kile kwa nguvu zote.
pia tunawapongeza viongozi wetu kwa kuziingiza rwanda na burundi kwenye jumuiya ya afrika mashariki, it is a positive move na lazima utendelee mpaka africa yote iwe kitu kimoja.
aluta continue.
tutaendelea kukilinda kisiwa kile kwa nguvu zote.
pia tunawapongeza viongozi wetu kwa kuziingiza rwanda na burundi kwenye jumuiya ya afrika mashariki, it is a positive move na lazima utendelee mpaka africa yote iwe kitu kimoja.
aluta continue.