mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Chama cha CCM kimeiagiza serikali kupeleka bungeni muswada wa sheria ya kutenganisha bizness na siasa akizungumza katika kipindi cha jambo leo tbc1 katibu mwenezi mtetezi wa wanyonge Bw Nape Nnauye amesema kuwa muswada huo uko tayari na utawasilishwa katika kikao kijacho cha bunge.lengo la muswada huo ni kuwaweka mbali wafanya bizzness na siasa ili makabwela waendeshe siasa na uongozi big up sana kwa hili nasubiri kuona wabunge wa buzzness watakavyoreact!!