Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Bunge jipya huko Misri linategemea kupitisha sheria ya kuruhusu wanaume waliofiwa na wake zao, kufanya nao ngono kwa lengo la kuwaaga. Muswada wa sheria hiyo mpya tayari imepingwa na wanaharakati wanawake kwa kuwa pia inaruhusu ndoa kwa mabinti walio chini ya miaka 14
Sheria hiyo itamruhusu mume kufanya mapenzi na maiti ya mkewe, ndani ya saa 6 baada ya kufariki. Sheria hiyo itajulikana kama KUAGANA KWA KUJAMIANA.
Source. Gazseti la Uhuru
Sheria hiyo itamruhusu mume kufanya mapenzi na maiti ya mkewe, ndani ya saa 6 baada ya kufariki. Sheria hiyo itajulikana kama KUAGANA KWA KUJAMIANA.
Source. Gazseti la Uhuru