Mungu baba bariki siku hii ya leo nimpate yule ulieandaa kwa ajili yangu (mume)

dada umechangamkiwa hadi basi..sie wengine tukiweka tunaambulia mitusi na kejeli.
hongera sana utapata mume na utarud na ushuhuda..
IKIWA UTATUMIA AKILI KATIKA KUMCHAGUA ANAEKUFAA
 
Kila lakheri mpendwa, vumilia tu muda ukifika yatatimia yale yote ya haja ya moyo wako.
 
Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.

Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.

Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili

Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo

Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out

Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance

Umri usiwe chini ya 30

Na ni vizuri ukiwa ni mkristo

Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm

Karibuni!

All the best!
 
Kila aombae hupewa, amini umekwishapokea!!!

Mume bora mtu hupewa na Mungu, naamini Mungu atakupa aliye wako pekee na ukimpata Usichoke kumuombea na kumlinda kwa maombi kila iitwapo leo.. Kila lenye kheri mdada
 
Kila aombae hupewa, amini umekwishapokea!!!

Mume bora mtu hupewa na Mungu, naamini Mungu atakupa aliye wako pekee na ukimpata Usichoke kumuombea na kumlinda kwa maombi kila iitwapo leo.. Kila lenye kheri mdada
Asante kwa maneno yako mazuri na ya kutia moyo.... Be blessed!
 
Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.

Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.

Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila sikuweza fanikiwa na sina wa kumlaumu katika hili

Umri wangu kwasasa ni 28
Ni mkristo

Hitaji langu ni kumpata mwenza alie smart in and out

Sichagui rangi, urefu sijui ufupi ila uwe tu smart sababu naamini mume ni zaidi ya physical appearance

Umri usiwe chini ya 30

Na ni vizuri ukiwa ni mkristo

Mambo mengine ya msingi tutafahamishana pm

Karibuni!
Si umezaliwa mwaka 1970. Sasa mwaka huo na miaka 28 wapi na wapi? Au nimeangalia vibaya kwenye profile yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom