neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
The boss toa msaada bana sio uainishe huyo baba ni nani tehe tehelittle boy in a man's body ........
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
The boss toa msaada bana sio uainishe huyo baba ni nani tehe tehelittle boy in a man's body ........
usemavyo ni kweli,Sikupenda kutoa siri za ndani kwangu lakini kutokana na hali halisi nimeamua kumweleza baba mkwe,japo sijamweleza kwa undani sana kutokana na jinsia yake ila nimemweleza kuwa mwenzangu kahama chumba miez 8 sasa,Namwomba aongee naye ili anirudishe kwetu,Nadhani baba alinielewa na kumwambia na cha kushangaza kakataa katakata kuwa hayuko tayari kuniacha.Madam, na wewe miez 8 ukaa kimya tuuu. Wewe unatambua haki zako za msingi kwenye ndoa? Mumeo anahitaji kukalishwa na kuelezwa kwa undani athar za ndugu kuwa na maamuzi ndani ya ndoa. Ndoa ni watu wawili wewe na yeye. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
hah! ww unamwendekeza na hujui hata kumrubuni m2, hamia huko anakolala ukalale, akiamka nawe amka, akikaa nawe kaa, akirudi kule kwa mwanzo nawe rudi huko, ataona mnafanya utoto atakubali mlale, saa 8 za usiku muwekee mguu juu, mkumbatie then mwambie naomba...! hakyanan hasira kule, ukiwin nipe jb.
why should i do that? Naona km nitakua naidhulumu nafsi yangu na atanidharau kwelikweli,naanini tendo la ndoa ni hiari so km ananipenda akae chini na mimi anieleze tatizo na kama hanipendi bora anipe uhuru. Yote mawili hatakiWell said, akizingua nambakaje kwi kwiiiiiiiii kwiiiiii Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
why should i do that? Naona km nitakua naidhulumu nafsi yangu na atanidharau kwelikweli,naanini tendo la ndoa ni hiari so km ananipenda akae chini na mimi anieleze tatizo na kama hanipendi bora anipe uhuru. Yote mawili hataki
Wanaume bana! Sometimes ni kero tupu
kutakuwa na dada binamu humo ndani, hajashtuka tu bado lol
Anadai sababu kuu ni mimi kutowatii dada zake hivyo ameamua kuhama chumba ili na kukata huduma ya chakula cha usiku kwa miez 8 sasa kunikomoa...
mwambie kwamba wewe utamtii yeye tu ndugu zake utawaheshimu tu.. siyo kukupangia, jaribu kutafuta suluhu kwa wasimamizi wenu wa ndoa na wazazi pia kama nyie wawili imeshindikana kabisa. kama vitu vyote anakutimizia lakini anakwepesha kisu kurudi kwenye ala yake basi we jitahidi kuvumilia na siku akitaka mwambie mkapime huwezi jua. ukishindwa tuwasiliane nikupe mbinu ya mwisho...
Huyo mumeo kama amepata mahali pa chakula cha usiku nawe jitahidi upate mahali pa kukata kiu ila usijulikane. na pia usisahau kutumia kinga na pindi akili ya mumeo ikifunguka na akakurudia nendeni mkapime.Anadai sababu kuu ni mimi kutowatii dada zake hivyo ameamua kuhama chumba ili na kukata huduma ya chakula cha usiku kwa miez 8 sasa kunikomoa...
Ni kweli kabisa kuwa mimi na dada zake tumeshindwa kuelewana kabisa kutokana na wao kutaka kunipangia masharti nyumbani kwangu jambo nililolipinga kwa nguvu zote.
...Mume wangu yeye sijui anawaogopa au anawaheshimu hvy kila kitu wanampangia.
Nisaidieni nifanyaje mana uzalendo unakaribia kunishinda na kucheat siwezi kabisa na wala sitakaa niweze...
Nimejaribu kumbembeleza kwa kila khali lakini kasusa, WHAT CAN I DO MY DEAR FRIENDS? Maana upweke umenichosha
Anadai sababu kuu ni mimi kutowatii dada zake hivyo ameamua kuhama chumba ili na kukata huduma ya chakula cha usiku kwa miez 8 sasa kunikomoa...
Ni kweli kabisa kuwa mimi na dada zake tumeshindwa kuelewana kabisa kutokana na wao kutaka kunipangia masharti nyumbani kwangu jambo nililolipinga kwa nguvu zote.
...Mume wangu yeye sijui anawaogopa au anawaheshimu hvy kila kitu wanampangia.
Nisaidieni nifanyaje mana uzalendo unakaribia kunishinda na kucheat siwezi kabisa na wala sitakaa niweze...
Nimejaribu kumbembeleza kwa kila khali lakini kasusa, WHAT CAN I DO MY DEAR FRIENDS? Maana upweke umenichosha
Hii ni perfect description ya huyo bwana anayeitwa mume kwenye huu uzi.little boy in a man's body ........
Huyo anakupenda sema tu lina gubu sijui kisirani,sasa anataka nini,my dear pole nimechukia sana,jidai una mtu na wewe,ukiwezekana uwe unaongea na simu hata na mdogo wako wa kike kimahaba pale unapohisi anaweza akawa around anakusikia.Vinginevyo fanya kweli pata kijana na make sure CONDOM inahusika,kisa cha kuwa na stress za too much nyege na mume unae.Wanaume jamani na sisi hua tunateseka na nyege,why kutesa wake zenu!inahusu,mwanaume kususa ni aibu, mwanaume wa kweli anatatua matatizo ya familia yake na sio kususa!
hah! ww unamwendekeza na hujui hata kumrubuni m2, hamia huko anakolala ukalale, akiamka nawe amka, akikaa nawe kaa, akirudi kule kwa mwanzo nawe rudi huko, ataona mnafanya utoto atakubali mlale, saa 8 za usiku muwekee mguu juu, mkumbatie then mwambie naomba...! hakyanan hasira kule, ukiwin nipe jb.
BADILI TABIA yaani huyu dada sijui nimpe roho yangu ama?????????? yaani nilisha mwambia avae sura ya kazi there is time you have to accept what your getting. kama hakupi unyumba kubali kwamba hayo ndo maisha yenu ila think what next?lonely heart bado unahangaika na mumeo tu (unless uniambie nakufananisha, maana nilishasoma thread zako za nyumba) kam akakunyima ujue kuna mahali anapewa kwa hiyo uamuzi ni wako kusuka au kunyoa.........
kama kuipigania ndoa yako wewe dada umejitahidi. Mungu akusaidie tu uvuke maana nguvu uizowekeza tangu kipindi kile cha ujauzito ni nyingi.
Umeshajifungua??
Wee mwangalie tu atarudi mwenyewe.