Kuna m2 nilikua nae chuo,nilipoingia bafuni nikamkuta anavaa chup ya KIKEbaadhi hutumia khanga za wake zao kama taulo la kujifutia maji baada ya kuoga ila wengine ni feelings tu na labda desturi, kuna wababa wengine wakisafiri lazima wachukue kanga/kitenge cha mama na wakifika huko waendako kama ni hotelini hukitoa ndani ya mkoba na kkukiweka kitandani muda wote hadi aondike humo hotelini. nimeona na wengine huchukua mpaka nguo za ndani za wake zao kama chupi nk. wengine vitu vidogovidogo kama bangili, mikufu nk. lakini wote hao hawana sababu zaidi ya hisia tu kuwa wakishika ama kivaa vitu hivyo wanahisi hali ya nyumbani zaidi na hata wengine kuvuta kumbukumbu za kitandani kabisa, wengine ni self esteem tu unaweza kulinganisha na kuringia wwake/waume zao. in my opinion, vyote ni vyema na recommended. ila kanga kama khanga haina impact yoyote, muhimu ni hisia iliyosababisha mwenzio ajisikie kuvaa nguo yako
Huko Zenji wanaita MSULI yaani mwanaume akivaa kanga yupo home, ready at anytime kula mzigo, mhongo ukienda hewani anvuta tu mamaa
anampa kitu na mamaa utakuta nae kavaa kangaa au urojorojo hana chupi, free ni kunyenyua tu na kuingiza kama Maasai
baadhi hutumia khanga za wake zao kama taulo la kujifutia maji baada ya kuoga ila wengine ni feelings tu na labda desturi, kuna wababa wengine wakisafiri lazima wachukue kanga/kitenge cha mama na wakifika huko waendako kama ni hotelini hukitoa ndani ya mkoba na kkukiweka kitandani muda wote hadi aondike humo hotelini. nimeona na wengine huchukua mpaka nguo zandani za wake zao kama chupi nk. wengine vitu vidogovidogo kama bangili, mikufu nk. lakini wote hao hawana sababu zaidi ya hisia tu kuwa wakishika ama kivaa vitu hivyo wanahisi hali ya nyumbani zaidi na hata wengine kuvuta kumbukumbu za kitandani kabisa, wengine ni self esteem tu unaweza kulinganisha na kuringia wwake/waume zao. in my opinion, vyote ni vyema na recommended. ila kanga kama khanga haina impact yoyote, muhimu ni hisia iliyosababisha mwenzio ajisikie kuvaa nguo yako
1. Si utamaduni wa mtanzania hata kidogo.
2. Hakuna faida yoyote kuvaa kitende cha mwanamke na ni aibu mwanaume mzima kutembea umejifunda kanga pekee yake. Mwanamke mwenyewe haruhusiwi kuvaa kanga pekee yake nje ya chumba chake. Labda avae huko ndani.
3. Ni tabia tulizo ridhi toka kwa waarabu.
Labda swali hili nitalielekeza kwa Wenzi ambao wanaishi pamoja:
1. Je ni sawa kwa mwenzi wa kiume kuvaa au kujifunga kanga/kitenge? (Si kikoi plz)
2. Na kama ni sawa, ni wakati gani mwafaka wa kufanya hivyo?
3. Je kujifunga Kanga/Kitenge kuna nafasi gani katika mahusiano?
Mara kadhaa nimemwona mwenzi wangu akivaa Tshits zangu; Bukta; Suruali na hata shati zangu. Hili nalo limekaaje?
i used to see my papa akivaa kitenge na kanga nilipokuwa bado nipo home,alikuwa anavaa akiwa ametoka kuamka asubuhi au hata jioni akiwa home.ila bila ya shati juu wala fulana.
lakini haikumzuia kuwa na wanawake zaidi ya wanne na kimada kila mtaa,kwahiyo sidhani kama ina msaada wowote kwenye kuchachandulisha penzi.
baadhi hutumia khanga za wake zao kama taulo la kujifutia maji baada ya kuoga ila wengine ni feelings tu na labda desturi, kuna wababa wengine wakisafiri lazima wachukue kanga/kitenge cha mama na wakifika huko waendako kama ni hotelini hukitoa ndani ya mkoba na kkukiweka kitandani muda wote hadi aondike humo hotelini. nimeona na wengine huchukua mpaka nguo za ndani za wake zao kama chupi nk. wengine vitu vidogovidogo kama bangili, mikufu nk. lakini wote hao hawana sababu zaidi ya hisia tu kuwa wakishika ama kivaa vitu hivyo wanahisi hali ya nyumbani zaidi na hata wengine kuvuta kumbukumbu za kitandani kabisa, wengine ni self esteem tu unaweza kulinganisha na kuringia wwake/waume zao. in my opinion, vyote ni vyema na recommended. ila kanga kama khanga haina impact yoyote, muhimu ni hisia iliyosababisha mwenzio ajisikie kuvaa nguo yako
Kama wife anapenda uvae kanga vaa tu mwaya
ukiwa umepumzika ndani funga yako ,ukitoka kuoga waweza kuvaa mradi tu uko confortable
labda swali hili nitalielekeza kwa wenzi ambao wanaishi pamoja:
1. Je ni sawa kwa mwenzi wa kiume kuvaa au kujifunga kanga/kitenge? (si kikoi plz)
2. Na kama ni sawa, ni wakati gani mwafaka wa kufanya hivyo?
3. Je kujifunga kanga/kitenge kuna nafasi gani katika mahusiano?
1. Si utamaduni wa mtanzania hata kidogo.
2. Hakuna faida yoyote kuvaa kitende cha mwanamke na ni aibu mwanaume mzima kutembea umejifunda kanga pekee yake. Mwanamke mwenyewe haruhusiwi kuvaa kanga pekee yake nje ya chumba chake. Labda avae huko ndani.
3. Ni tabia tulizo ridhi toka kwa waarabu.
Huko Zenji wanaita MSULI yaani mwanaume akivaa kanga yupo home, ready at anytime kula mzigo, mhongo ukienda hewani anvuta tu mamaa
anampa kitu na mamaa utakuta nae kavaa kangaa au urojorojo hana chupi, free ni kunyenyua tu na kuingiza kama Maasai